Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,162
- 137,241
- Thread starter
-
- #61
Wewe Mzee huna akili kabisa. Yaani kumkosoa Rais ni kumuita mvuta Bangi au mwenda wazimu? Umechanganyikiwa wewe Mzee Na akili yako imedumaa. Mpuuzi sana wewe
Pangua hoja kwa hoja,
Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...
Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.
Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.
Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.
Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.
Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda😀.
Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.
Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...
Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.
Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.
Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.
Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.
Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda😀.
Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.
Mimi siku zote nalia na Red Brigade, kikundi rasmi cha Chadema kwa mujibu wa katiba wa chama hicho kwa ajili ya kulinda maliza chama na viongozi waandamizi wa chama hicho. Ben alikuwa kiongozi mwandamizi , nina imani alikuwa na ulinzi pia. Sikuwahi kusikia kauli kutoka Redbrigade.Ben si ajabu kapotezwa na Mbowe na CHADEMA yake....
Hata kuanzisha harambee kwenye GoFundMe mchangishe pesa za kutumika kumtafuta hamjafanya.
Aibu.
Halafu mtu ....(jina kapuni) miaka hiyo anasema"...inchi fulani...isusiwe kisiasa, kidiplomasia, kiuchumi..." ! Hii kauli ni threat to the public interest.Anasahau hii Ibara ya 29 (5) ya katiba ya JMT ya 1977 ;
.... (5) In order that all persons may benefit from the rights and freedoms guaranteed by this Constitution, every person has the duty to so conduct himself and his affairs in the manner that does not infringe upon the rights and freedoms of others or the public interest.
FafanuaAnasahau hii Ibara ya 29 (5) ya katiba ya JMT ya 1977 ;
29.-(1) Every person in the United Republic has the right to enjoy fundamental human rights and to enjoy the benefits accruing from the fulfillment by every person of this duty to society, as stipulated under Article 12 to 28 of this Part of this Chapter of the Constitution. Art.6
(2) Every person in the United Republic has the right to equal protection under the laws of the United Republic.
(3) A citizen of the United Republic shall not have a right, status or special position on the basis of his lineage, tradition or descent.
(4) It is hereby prohibited for any law to confer any right, status, or special position upon any citizen of the United Republic on the basis of lineage, tradition or descent.
(5) In order that all persons may benefit from the rights and freedoms guaranteed by this Constitution, every person has the duty to so conduct himself and his affairs in the manner that does not infringe upon the rights and freedoms of others or the public interest.
Wewe utaishi mileleNa ndiko anakoelekea huyo Lissu wenu....kuwa mfu.
mmojawapo ni mimi....
Nani na nani nchi hii wanayo hiyo busara?
Ngoja nikuwekee toleo la kiswahili hapa;Fafanua
Lisu anavunja katiba anayoigiza kuitetea; halafu bila hata kujiuliza wafuasi wake wanashangilia.Halafu mtu ....(jina kapuni) miaka hiyo anasema"...inchi fulani...isusiwe kisiasa, kidiplomasia, kiuchumi..." ! Hii kauli ni threat to the public interest.
Ujinga ni kumkanya mtoto wakati wewe baba una tabia hiyo hiyo.Huu ndio tunaita upuuzi wa kiwango cha lami
Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...
Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.
Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.
Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.
Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.
Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda😀.
Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.