Hata kama una haki....

Hata kama una haki....

Makosa ya Lissu ni nini hasa? Usitoke povu, trust me hakimu ataitupilia kesi kwenye bini, kama kesi nyengine kabla ya hii, au unasemaje?

And that will prove my point, i.e. Your insecurity, aka stupidity!
Ni wazi hujanisoma. Na kama umenisoma basi hukuelewa ulichokisoma.

Matokeo yake unaishia kuropoka tu.

Mara ngapi humu nimeshasema kuwa Lissu hana kesi ya kujibu mahakamani kwa mintarafu ya yeye kukamatwa safari hii?

Nimeshasema humu kwamba hapo hakuna kesi. Kwamba kilichopo ni kumsumbua na kumnyanyasa nyanyasa tu.

Hilo nishalisema wazi. Nishasema kuwa mashitaka dhidi yake ni frivolous.

So what the hell are you talking about?

Unadandia tu karandinga kwa mbele hujui limetoka wapi.

Good grief.
 
Your tactics is called "whitewash", trying to pretend to criticise the other to be seen fair, your insecurity keep revealing itself! Yaani unaangalia upepo, you don't have any firm standing on anything!

Keep revolving! Tunakosoma!

Makosa ya Lissu ni nini hasa? Usitoke povu, trust me hakimu ataitupilia kesi kwenye bini, kama kesi nyengine kabla ya hii, au unasemaje?

And that will prove my point, i.e. Your insecurity, aka stupidity!

Kazi yako inaota mbawa soon wewe unashinda JF unampigania mchaga mwenzio fisadi mbowe. Sijawai ona cashier bogus kama wewe. Soon utaiaga masaki.
 
Ni wazi hujanisoma. Na kama umenisoma basi hukuelewa ulichokisoma.

Matokeo yake unaishia kuropoka tu.

Mara ngapi humu nimeshasema kuwa Lissu hana kesi ya kujibu mahakamani kwa mintarafu ya yeye kukamatwa safari hii?

Nimeshasema humu kwamba hapo hakuna kesi. Kwamba kilichopo ni kumsumbua na kumnyanyasa nyanyasa tu.

Hilo nishalisema wazi. Nishasema kuwa mashitaka dhidi yake ni frivolous.

So what the hell are you talking about?

Unadandia tu karandinga kwa mbele hujui limetoka wapi.

Good grief.

Wewe mtapatapa na maji tu, so why puking your profanity na uzi mrefu kwa kumkashifu Lissu kuongea alichoongea,

Je there is no truth in what he is saying? Ambacho kilichompelekesha yeye kuwekwa ndani, na hatma yake kufikishwa mahakamani.

Na kama no, he will definitely go to jail, i.e. For hate speech Na kama yes, basi atashinda kesi hata kama hawatasema hilo, na hapa Mimi na wewe tunakubaliana.

So what's your point ya huu uzi wako?

Na je unakubalina Na wengi humu, millions tzshs are wasted, kwenye mahakama, police resources all paid by tax payer for a non issue to start with!

Na cost nyengine ambayo intangible kama uhuru wa kumuongelea Rais wako kwa kumkosoa, kama unavyojigamba umemkosoa sana humu, je huoni hilo pia utalikosa kwa vitendo vya serikali kwa kutumia vyombo vya sheria for non issue to start with.

Naona kama unajichanganya, you don't have argument or narrative ya kile unachokiandika au unachokitetea, just a lost cause or confused Ngabu, I'm lost for choices, how I should define you.

Read back your comment and think!
 
Wewe mtapatapa na maji tu, so why puking your profanity na uzi mrefu kwa kumkashifu Lissu kuongea alichoongea,

Je there is no truth in what he is saying? Ambacho kilichompelekesha yeye kuwekwa ndani, na hatma yake kufikishwa mahakamani.

Na kama no, he will definitely go to jail, i.e. For hate speech Na kama yes, basi atashinda kesi hata kama hawatasema hilo, na hapa Mimi na wewe tunakubaliana.

So what's your point ya huu uzi wako?

Na je unakubalina Na wengi humu, millions tzshs are wasted, kwenye mahakama, police resources all paid by tax payer for a non issue to start with!

Na cost nyengine ambayo intangible kama uhuru wa kumuongelea Rais wako kwa kumkosoa, kama unavyojigamba umemkosoa sana humu, je huoni hilo pia utalikosa kwa vitendo vya serikali kwa kutumia vyombo vya sheria for non issue to start with.

Naona kama unajichanganya, you don't have argument or narrative ya kile unachokiandika au unachokitetea, just a lost cause or confused Ngabu, I'm lost for choices, how I should define you.

Read back your comment and think!
Hilo povu si la mchezo ati

Laiti ungekuwa unanisoma na kuelewa ulichokisoma usingetoa povu kiasi hiki.

Pole sana.
 
Hilo povu si la mchezo ati

Laiti ungekuwa unanisoma na kuelewa ulichokisoma usingetoa povu kiasi hiki.

Pole sana.

You don't have any argument, you lost it have a good day,

Next time unabandika uzi, weka fikra zako makini, sio uzi wa kutaka attention ya watu, we must clean this Jamii forum of non sense, just being more civil and conscious of what you are writing, it is a democracy of common sense, kwa lugha nyepesi, yaani usijitusi mwenyewe. Uzuri wake hafungwi mtu hapa!

Na dalili ya kukosa argument ni kujichekesha on serious matter like this, I'm sure you already understood my criticism of your argument, as non argument, just like this case against Lissu,

dismissed!
 
Ila mkuu umebadirika sana mpaka inatia wasiwasi.

Kwanza, ni 'umebadilika' siyo 'umebadirika'.

Pili, wala sijabadilika kabisa.

Bado ni yule yule wa siku zote.

Labda wewe ndiye uliye badilika.

Jiangalie.

Rais huyu ni dictator na ana roho mbaya, wivu na husda.

Dictatorial tendencies zake nimeshaziongelea sana humu.

Wewe ulikuwa wapi wakati nayazungumzia hayo?

sijui kwa nini unamtetea/munamtetea?

Namtetea kuhusu jambo gani? Hebu kuwa mahsusi.

Boss, jaribu kuwa neutral...na dunia hii/ i guess JF members watakukumbuka kwa hilo

Mbona hilo ndilo ninalolifanya humu....

Magufuli juzi tu hapa nimetoka kumpinga kuhusu wanafunzi wanaopata ujauzito mashuleni.

Hata kuhusu Lissu kukamatwa na kuwekwa ndani nalo nimelipinga.

Sidhani kabisa kama Lissu alistahili kuwekwa ndani.

Lakini napinga madai yake kuwa rais anaendesha nchi kwa misingi ya upendeleo wa kikabila na kikanda.

Hebu ona hizi mada nilizowahi kuzianzisha juu ya Magufuli.....

Magufuli is the real deal

Nataka rais Magufuli ashindwe

Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...

Mwaka mmoja umetueleza mengi

Majuto ya mnunuzi?

Kaisoma na kuielewa katiba kweli?

Naibu Spika Tulia Ackson Mwansasu anapwaya, hafai

Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Rais Magufuli na Libya

Haya, hebu nambie sasa....mimi ni mtetezi wa Magufuli muda wote?

Unataka niwe 'neutral' au 'balanced' kivipi zaidi ya nilivyo sasa?

Nakala iwafikie na QUIGLEY na valuablecock
 
Hayo yaliyofanyika kukabiliana na kuchukua hatua dhidi ya wahalifu kutoka hewa kila mahali hadi rushwa kubwa zilizokuwa zimewekwa kapuni..wewe ungeweza??? waliomtangulia kwa nini walishindwa..sifa muhimu ya serikali yoyote ni kuwa powerful!!! madaraka si kufanya watu wacheke kijana..
Ni kweli kabisa mkuu wezi wamekamatwa kila mahala japo wanashinda kesi zao lakini tumethubutu kuwakamata, japo wametushinda mahakamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daima ni vema kutathmini kile ambacho tunatakakuzungumza.

Ni vema tukatambua faida au madhara ya Yale tutakayoyazungumza.

Je,yanajenga jamii au yanabomoa jamii? Na nani hasa atakuwa muhanga wa Yale tunayotaka kuyazungumza.

Kwa hili la kudai Tanzania inyimwe misaada ni ukosefu wa roho ya kibinadamu na kujali maslahi binafsi ya kisiasa. Sawa watatunyima misaada na wananchi wataishi kwenye hali ngumu pengine na hata wafanyakazi kukosa mishahara yao,hapo utakuwa umemkomoa mwananchi au serikali?

Uchu wa madaraka usitufanye tukawa wanyama na kuanza kutengeneza uadui kati ya sisi kwa sisi,waache wananchi wajionee na mwisho wa siku watafanya maamuzi wao wenyewe .

Tusifike kule walikofikia Libya Leo hii hali mbaya. Hayo mataifa mnayoyashtakia yanatamani hata Leo tuingie vitani wazidi tunyonya vzr,democracy mnayoihubiri wameiweka kama kimvuli cha kufanya wanayoyataka ktk nchi zetu,lkn vijana na wasomi wetu wanadanganywa! Na wimbo wa democracy.

Kama kweli democrasia Ipo kwanini wasingemkamata Ghadaf akiwa hai wamsikilize?

Vyama vya siasa ni vibaraka wa hayo mataifa ya magharibi wanafadhiliwa kwa sababu maalum,tunataka democracy lkn kwa makubaliano Fulani baada ya kushika dola,huu si uungwana.

Ni maoni yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tribalism is a desease, it blinds fools into loyalty of their own no matter what!!
 
Yuko mmoja anayedai anahaki ya kufanya mikutano ya siasa kokote na wakati wowote. Binafsi sijapata kuona mropokaji kama yeye.

Wewe mleta mada, sijui haya maneno ni ya kwako au ya 'nyani' (sisiem) anayemkejeli mwenye shamba (wananchi) baada ya kuiba mali ya umma kwa miaka zaidi ya hamsini (ikiwemo ile ya tanu na eiespi)?

Huyu 'mtukufu' kati ya miungu ya ya kufikirika, eti yeye yuko juu ya sheria na katiba ya nchi na ana haki ya kutukana au kukejeli yeyote huku akishangiliwa na wengi waliojitoa ufahamu kama wewe! Kuwa mkuu hakumpi haki mtu yeyote kudharau wengine na huyu 'mtukufu' is only human in blood, flesh and souls, no different to you and I. 'kinyago tulichochonga' wenyewe chapata wapi haki ya kuwadharau waliokichonga?

Iko siku wewe utamzomea huyu mtu. Yaani hii mada yako inamhusu huyo mtukufu siyo TAL. Think again GT!
Hongera sana mkuu, umenena haswa. Hii tabia tuliyonayo ya kuona kwamba mtu mwenye mamlaka ana haki ya kusema lolote asemalo, amtukane yeyote atakaye na vyovyote vile, bila kuhojiwa, hivi chanzo chake hasa ni nini? kwamba ikitokea akaja mtu tu raia wa kawaida akamsema huyo mtawala, basi utaona watu wanajaa povu. wala hawana muda wa kuangalia mizania, kuona kwamba binadamu wote wanastahili heshima.

Mimi naamini chanzo kimojawapo ni utamaduni wetu tokea enzi za kichifu. chifu hata aseme nini, yuko sahihi. chifu hakosei hata kidogo. makabila mbalimbali yana majina yao kwa wakuu wao: mtemi, mtwa, mangi, O Mukama, nk. na hii imeingia mpaka kwenye mifupa, inasafiri kwenye mfumo wa jenetiki. hata akina NYANI NGABU, ambao wametopea katika umagharibi, lakini bado wanayo hii jenetiki ya kutukuza utemi na umangi kwa namna hii. na bila shaka watawaachia watoto wao huko waliko.
 
Lissu hajui saying the right thing wrongly and saying the wrong thing have the same effect and penalties.

Lissu pia hajui kuwa inahitaji busara kumtukana au kumsuta mkubwa. Hakujifunza alivyobezwa na JK wakati anamuomba aingilie mchakato wa katiba mpya kwa mamlaka ambayo yeye mwenyewe aliyapigia kelele na kumnyang'anya rais
Vyovyote utakavyomuona Lissu, anahitajika sana tu katika Tanzania yetu hii. tumekuwa na ma-rais na ma-rais-wastaafu, ambao wamewaita watanzania, waliowaomba kura kwa "unyenyekevu" mkubwa na hata "kupiga push-up", kwamba ni WAVIVU WA KUFIKIRI. kuna wengine wamewaita watanzania MALOFA. Heshima haina mkubwa wala mdogo. Marijani Rajab aliwahi kuimba:

Nasisitiza Heshima, Heshima ni kitu cha bure
muwaheshimu wakubwa, pamoja na wadogo


Mkubwa aheshimiwe, lakini mkubwa pia aheshimu wadogo. JPM amewakosea heshima watanzania kwa kupuuza katiba, ambayo ameapa kuilinda. Katiba inahakikisha uhuru wa kutoa maoni, na JPM hataki kuona uhuru huu. JPM ana kawaida ya kutoa lugha kali, hasa kwa wenye mawazo tofauti na yeye. Hii si sawa kabisa. na ndio maana tunahitaji watu kama Tundu Lissu. Utamaduni wetu watanzania wa kuheshimu wakubwa wetu, ambao una mizizi katika kuheshimu mtawala toka enzi za utemi na umangi na umkama, ni mzuri kama hao wakubwa pia wataheshimu raia pamoja na miongozo, sheria na taratibu zilizopo. vinginevyo MKUBWA HAKOSEI ni upuuzi ambao unatakiwa kupigwa vita
 
Haya uliyoyaandika yatakuwa na maana kama Mahakama itamkuta na hatia Tundu Lisu. Vinginevyo utakuwa umeongea upuuzi wa kupuuzwa kabisa na wapenda demokrasia wote.

Kusema ni haki yake kutukana ndio makosa .Na kama angekuwa ametukana basi angefunguliwa kesi ya matusi.

Kama maneno yale yangeweza kusababisha sokomoko nadhani kila mtu angekuwa ameshashuhudia hilo sokomoko.Na kwa kuwa hilo halijatokea wewe ni mzushi na muongo.
 
Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia?

Lissu ame break new ground. Hakuna katika historia ya nchi hii mtu aliyewahi kusimama hadharani akasema Rais ni mkabila, akamtaja mpaka mkuu wa majeshi aliyepewa cheo kikabila. Isipokuwa Tundu Lissu.

Nani asiyejua Magufuli mkabila. Sasa imekuwa kawaida viongozi kumuiga Magufuli kuongea Kisukuma majukwaani. Julius Nyerere ametawala miaka 24 hakuwahi kuzungumza Kizanaki jukwaani.

Needless to say, this is fake outrage. Yani mtu anadai maneno ya Lissu yanaweza kusababisha uchochezi halafu anayatawanya mitandaoni zaidi na zaidi kwa ki clip cha Youtube. Anajifurahisha tu, he doesn't mean it.
 
I'm not psychic but, It could be ni ile narrative anayoongelea Lissu,

"Labda Nyani na Ngedere wanatoka shimo moja " a sense of insecurity by Nyani Ngabu!

Anaziba pua na kunusa pale anapotaka! Kwa maana nyengine his(Nyani Ngabu) conscious betrays his common sense! Kwa maneno yake Mijiafrika ndivyo tulivyo... by Nyani Ngabu

The issue is, Lissu is nobody, but the other is everybody, why feel a sense of insecure from Tundu words, he decided to resolve his insecurity by resorting in brutal force injustice, wasting of our resources and frankly speaking our tax money!

How many cases against Lissu by the state stuck up!, non of which result in conviction, does that make sense, he is on the right, and the other, well, you make your educated guess!

Stop wasting our resources, police time, court time and my time and my money!

Mkuu Mungu akubariki, kingreza safi, context safi. Hizi ndio akili zinazofanana na akina Lisu., sio unafiki wa msukuma huyu Nyani Ngabu.
 
Mkuu Mungu akubariki, kingreza safi, context safi. Hizi ndio akili zinazofanana na akina Lisu., sio unafiki wa msukuma huyu Nyani Ngabu.

Mkuu tuko ktk wakati Mgumu sana sana! Na huyu mkuu ati wanadai ni wa wote!

I feel a sense of betrayal and being abused while, I'm fully conscious, it is a rape in different perspective, and we are supposed to stay numb.

Lissu go go ! Mungu akulinde shujaa unayesema ukweli to the big elephant in the room!
 
Lissu the Great endelea kuwatoa kamasi.mwendo mdundo mpaka 2020
 
Back
Top Bottom