Hata kama una haki....

Hata kama una haki....

Kwanza, ni 'umebadilika' siyo 'umebadirika'.

Pili, wala sijabadilika kabisa.

Bado ni yule yule wa siku zote.

Labda wewe ndiye uliye badilika.

Jiangalie.



Dictatorial tendencies zake nimeshaziongelea sana humu.

Wewe ulikuwa wapi wakati nayazungumzia hayo?



Namtetea kuhusu jambo gani? Hebu kuwa mahsusi.



Mbona hilo ndilo ninalolifanya humu....

Magufuli juzi tu hapa nimetoka kumpinga kuhusu wanafunzi wanaopata ujauzito mashuleni.

Hata kuhusu Lissu kukamatwa na kuwekwa ndani nalo nimelipinga.

Sidhani kabisa kama Lissu alistahili kuwekwa ndani.

Lakini napinga madai yake kuwa rais anaendesha nchi kwa misingi ya upendeleo wa kikabila na kikanda.

Hebu ona hizi mada nilizowahi kuzianzisha juu ya Magufuli.....

Magufuli is the real deal

Nataka rais Magufuli ashindwe

Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...

Mwaka mmoja umetueleza mengi

Majuto ya mnunuzi?

Kaisoma na kuielewa katiba kweli?

Naibu Spika Tulia Ackson Mwansasu anapwaya, hafai

Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Rais Magufuli na Libya

Haya, hebu nambie sasa....mimi ni mtetezi wa Magufuli muda wote?

Unataka niwe 'neutral' au 'balanced' kivipi zaidi ya nilivyo sasa?

Nakala iwafikie na QUIGLEY na valuablecock
something is wrong somewhere! jitafakari. btw, kwenye kosa la R na L...ni mokosa madogo madogo tu and has nothing to do with the message content. anyway, kupanga ni kuchagua. kwa kuwa umechagua kuwa snitch...good for you..
 
[.kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.

''Kuropokaropoka'' kama wendawazimu nadhani sasa limekuwa janga la kitaifa mpaka kwa raia nambari one. Huyu juzi karopoka ati hata yale mabango yote (yale yaliyokuwa hayamtukuzi) yakienda kuwekwa kwenye vitanda vya wabeba mabango, hatoyasoma kamwe. Huu nao ni uropokaji uliopita mipaka.
 
something is wrong somewhere! jitafakari. btw, kwenye kosa la R na L...ni mokosa madogo madogo tu and has nothing to do with the message content. anyway, kupanga ni kuchagua. kwa kuwa umechagua kuwa snitch...good for you..

Umeumbuka.

Na ndo maana hata huja address hiyo hoja yako niliyoijibu kwa ithibati.

Safari ijayo jipange vizuri kabla hujaninyooshea kidole na kutoa tuhuma za kitoto.
Umeweweseka hadi umeshindwa kuandika 'makosa'.

Hujui hata maana ya neno snitch. Unachekesha.

😀
 
Lissu ame break new ground. Hakuna katika historia ya nchi hii mtu aliyewahi kusimama hadharani akasema Rais ni mkabila, akamtaja mpaka mkuu wa majeshi aliyepewa cheo kikabila. Isipokuwa Tundu Lissu.

Nani asiyejua Magufuli mkabila. Sasa imekuwa kawaida viongozi kumuiga Magufuli kuongea Kisukuma majukwaani. Julius Nyerere ametawala miaka 24 hakuwahi kuzungumza Kizanaki jukwaani.

Needless to say, this is fake outrage. Yani mtu anadai maneno ya Lissu yanaweza kusababisha uchochezi halafu anayatawanya mitandaoni zaidi na zaidi kwa ki clip cha Youtube. Anajifurahisha tu, he doesn't mean it.

Hayo ni maoni yako.

Rais Magufuli haendeshi nchi kikabila.
Lissu the Great endelea kuwatoa kamasi.mwendo mdundo mpaka 2020

Lissu ndo mgombea wenu 2020?

Hahahahaaa
 


Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...

Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.

Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.

Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.

Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.

Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.

Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda😀.

Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.

Hivi wasukuma mmeamua kujitoa ufahamu kutaka kubadili taka ngumu za Pogba ziwe almasi?
 
Hivi wasukuma mmeamua kujitoa ufahamu kutaka kubadili taka ngumu za Pogba ziwe almasi?

Anayejitoa fahamu ni huyo Lissu na nyie wapambe wake.

Rais Magufuli haendeshi nchi kwa misingi ya kikabila na kikanda.
 
Stupid same 'ol lame one liners.

That's when you know the person giving them can't hang with you.

Happy weekend.
Sihitaji happy weekend kutoka kwa mental retarded person!
Wewe endelea kutakatisha taka ngumu za Pogba labda zitakgeuka kuwa almasi!
 
Sihitaji happy weekend kutoka kwa mental retarded person!
Wewe endelea kutakatisha taka ngumu za Pogba labda zitakgeuka kuwa almasi!

Nimekutoa povu😀

Pole sana na happy weekend.
 
Back
Top Bottom