Hata kama una haki....

Hata kama una haki....

Kuishi majaaliwa, kufa lazima. Mh. Baba wa Taifa pamoja na uugwana wote, upendo kwa wote, uadilifu, kuheshimu watu, kushaurika, kukataa udikteta na kuukemea, kuwakataa marais marafiki na majirani waonevu kwa watu wao, kuwapa wananchi chakula wakati wa njaa, kusomesha watoto wa wananchi wake kutoka chekechea mpaka chuo including lishe, uniforms, matibabu malazi, transport Nje na ndani ya nchi, including us on power, kujenga viwanda Vingi, ajira kwa vijana, kuweka mifumo ya haki ya utawala katika ngazi zote bila kujali ukanda, udini, Elimu nk. Kama siku ilifika akafa!!! Sasa nani atabaki? Si Tundu, wewe, Mimi wala yule. Let's Aline ourself to equity, freedom of thought and say. Hii ndio itatuweka Huru. Uwongo uwongo pande zote utaliua taifa. Haponi mtu tukate minyororo ya wachumia tumbo wanaotushangilia kwa chochote hata kama yanatuharibia kwa waliotuweka mbele kuwaonyesha njia.
• Mfalme aliezoea kudanganywa Abunwasi alimpa vazi na kimdanganya kwamba kama halioni ana Dhabi,? Akamwambia avue nguo ili amvalishe lile vazi LA heshima ili watu wote wamwone, baada ya kuvua nguo Abnwasi akamwambia tayari amemvalisha vazi LA heshima na linampendeza sana; na akamtahadharisha kama kuna MTU hataliona vazi ni mdhambi na anastahili kuuawa. Hivyo LA mgambo likapigwa na wananchi wote walikusanyika kuona vazi LA mfalme na ambae hataona vazi anastahili kuuawa, kwa woga wote walimwona mfalme amevaa vazi nzuri na wakamshangilia sana kunusuru roho zao. Ila mmoja aliempenda Mfalme kwa dhati, akaamua kutokuwa mnafiki na akasema ni afadhali afe kuliko kuwa mnafiki kushangilia asichokiona wakati mfalme anadhalilika kwa kukaaa uchi mbele ya wananchi wake tena akipigwa baridi.
Aliamua kusema ukweli kadamnasi, wachumia tumbo wa mfalme wakataka kugawana vipande eti kwa kumwita mwongo, mwongo, mfalme Mungu kamtia busara akamsikiliza yule mhenga na kweli akakimbia ndani Mke na watoto wakamwambia "Baba uko Uchi"
Kuanzia hapo nchi ilisimama kwenye njiani iliyonyooka na wachumia tumbo wakayeyuka.
Heri fedheha kuliko mzaha. He tupo kwenye Barbara iliyo sawa. Mpayukaji ni muhimu kudeliver proper message kwa mfalme na wananchi.
TUMWOGOPE MUNGU KWA KILA TULITENDALO.
 


Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...

Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.

Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.

Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.

Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.

Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.

Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda😀.

Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.

Tundu lisu kwa wenye Akili tushaona ana matatizo ya Akili

Na kuthibitisha hilo wakemia walitaka kumpima mkojo


Pia naona mvurugano ndani ya chadema maana leo mwanasheriA kibatala kaandika article mwisho anasema anatamani agombee urais 2020 kwa hiyo faham nini kitatokea
 


Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...

Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.

Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.

Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.

Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.

Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.

Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda😀.

Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.

Naona unamtetea home boy.
Toa fact siyo ngonjera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anasahau hii Ibara ya 29 (5) ya katiba ya JMT ya 1977 ;

29.-(1) Every person in the United Republic has the right to enjoy fundamental human rights and to enjoy the benefits accruing from the fulfillment by every person of this duty to society, as stipulated under Article 12 to 28 of this Part of this Chapter of the Constitution. Art.6
(2) Every person in the United Republic has the right to equal protection under the laws of the United Republic.

(3) A citizen of the United Republic shall not have a right, status or special position on the basis of his lineage, tradition or descent.

(4) It is hereby prohibited for any law to confer any right, status, or special position upon any citizen of the United Republic on the basis of lineage, tradition or descent.

(5) In order that all persons may benefit from the rights and freedoms guaranteed by this Constitution, every person has the duty to so conduct himself and his affairs in the manner that does not infringe upon the rights and freedoms of others or the public interest.
We are signatory of United Nations and The Universal Declaration of Human Rights Article 19 state and I hereunder quote: Everyone has the right to freedom of opinion and expression; this right includes freedom to hold opinions without interference and to seek, receive and impart information and ideas through any media and regardless of frontiers.

Article 20:
  1. Everyone has the right to freedom of peaceful assembly and association.
  2. No one may be compelled to belong to an association

Again: The African Charter on Human and Peoples' Rights (also known as the Banjul Charter)
  1. Every individual shall have the right to receive information.
  2. Every individual shall have the right to express and disseminate his opinions within the law. (Emphasize mine)
although sub article 2 is considered to be watered down by the claw-back clause inserted within the same Article as I underline. And that claw--back clause were inserted there by African leaders to safeguard there interest with intention to erode democracy of speech and declared by universal human rights.

By any case freedom of expression is not the right to be restricted but one of the fundamental light of human right of which our laws are enshrined
 
Rais Magufuli haendeshi nchi kikabila.
Sawa, anaendesha nchi Kisukuma! Akifika Mwanza anatoa hotuba zake kwa Kisukuma. Watetezi wake kwa asilimia 99% ni Wasukuma. Haombi hela kupeleka maendeleo Usukumani, anachota tu utadhani walipa kodi ni Wasukuma peke yao. Paymaster General, mtoto wa dada, anapigiwa tu simu bila kujali tunalo Bunge.
 
Umeumbuka.

Na ndo maana hata huja address hiyo hoja yako niliyoijibu kwa ithibati.

Safari ijayo jipange vizuri kabla hujaninyooshea kidole na kutoa tuhuma za kitoto.
Umeweweseka hadi umeshindwa kuandika 'makosa'.

Hujui hata maana ya neno snitch. Unachekesha.

😀
bro, sizani kama umeshinda battle. niki-respond word to word watanifungia humu and i don't want that to happen. however, i do reserve my comment coz hata kesho ni siku. cheers
 
Tundu lisu kwa wenye Akili tushaona ana matatizo ya Akili

Na kuthibitisha hilo wakemia walitaka kumpima mkojo.
Pia naona mvurugano ndani ya chadema maana leo mwanasheriA kibatala kaandika article mwisho anasema anatamani agombee urais 2020 kwa hiyo faham nini kitatokea

Inasemekana ubishi/kufyatuka ni wa asili....shuleni alikuwa hivyo hivyo...na ulabu ni mahala pake.
 
bro, sizani kama umeshinda battle. niki-respond word to word watanifungia humu and i don't want that to happen. however, i do reserve my comment coz hata kesho ni siku. cheers

Sema tu huna cha kujibu.

Umeumbuka

Pole.

Oh btw, ni 'sidhani'. Siyo 'sizani'.
 
Wakuu, hivi kuna haki bila wajib???!!!!! Napita tu
Kinachotangulia ni haki...bila haki hakuna usawa, bila haki hakuna amani, bila haki hakuna heshima, bila haki hakuna umoja, bila haki hakuna uhuru, bila haki hakuna ustaarabu na bila haki hakuna wajibu. Kinachotutofautisha binadamu na wanyama wa porini ni haki na bila haki ni jungle law mtindo moja na kama wananchi hatukushtuka mapema huko ndiko Magufuli anakotupeleka.
 
Ngosha anaonyesha zairi na ubaguzi wa ki chama na yy anaropoka tyu kwny ziara yake katiba kai kalia anaendesha gari hili kwa kutumia akili yake siyo sheria za barabarani tulijua tupo ndan ya basi kumbe tupo kweny lori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom