PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Huyu dada MLOKOLE wa watu hakuwepo kwenye maandamano.!
AMEPOTEZA HAND-BAG YAKE akikimbia ili kuokoa maisha yake!...Poor her!
KWELI VITA HAINA MACHO!..Pole dadaangu katika Bwana!
Huyu dada MLOKOLE wa watu hakuwepo kwenye maandamano.!
wapi hapo? Kabla hatujaanza kuchangia.Je ! Ni askari wa JWTZ au Nchi nyingine
maana sare hazitofauntiani sana.