Hata kama ni kupigwa, basi si hivi jamani!!!

Hata kama ni kupigwa, basi si hivi jamani!!!

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,267
711656-01-02.jpg
 
Duh naona kama Uganda hii, hivi hawa wanajeshi hawajui kazi yao jamni aagrrr inakera bana aibu tupu
 
dahhhh
mie picha kama hizi sizipendagi
zinaniingia sana ..
 
wapi hapo? Kabla hatujaanza kuchangia.Je ! Ni askari wa JWTZ au Nchi nyingine
maana sare hazitofauntiani sana.
 
Museveni atakuja kuitwa na Ocampo kwajinsi anavyoendesha nchi
 
Museveni atakuja kuitwa na Ocampo kwajinsi anavyoendesha nchi
...anayeuwa kwa upanga nae hufa kwa upanga..Huyo M7 atakuja kuondolewa kama alivyotolewa Samuel Doe watu wanamkusanyia nguvu tu!
 
Duh naona kama Uganda hii, hivi hawa wanajeshi hawajui kazi yao jamni aagrrr inakera bana aibu tupu
NI kweli MR,
Hii ngoma ilikua Kampala Entebe-Road, Unaweza kuona ni kama tupo vitani, Tangu lini jeshi likakabiliana na raia wasiio na Silaha!,

Lakini Siku hiyo Raia walimkamata mwana jeshi Mmoja Na silaha yake Walimdunda na kumuamuru kufyatua risasi zote 30 kwenye magazine mpaka ziliisha, walimjeruhi mbaya kabisa!
 
Lazima wapigwe kwanini uandamane kumpinga Rais halali wa nchi aliyetangazwa na tume halali na huru ya uchaguzi

Ndugu yangu Ezan...Hawa hawajaandamana kumpinga M7 ila wanaandamana kupiga kupanda kwa bei za vyakula...Lakini hata hivyo kama rais akienda kinyume asipingwe eti kisa ni raisi halali????Yemen,Syria,Misri,Tunisia,Libya na kwingineko kwani huko imekuaje????Naomba kuwasilisha....
 
711639-01-02.jpg


A Ugandan military UPDF officer (L) disperses supporters of opposition leader Kizza Besigye who gathered to welcome him back to Kampala from Nairobi on May 12, 2011. Dr Besigye was in the Kenyan capital to seek medical treatment for injuries sustained after he was attacked by state security personnel during an opposition demonstration in his home town. Ugandan President Yoweri Museveni vowed to stamp out "disrupting schemes" as he was sworn in for a fourth term. AFP PHOTO/Tony KARUMBA
 
Back
Top Bottom