rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
naona ccm na washarika wake tume ya uchaguzi na polisi wanahangaika sana kumzima lissu au ikiwezekana kumuengua asiendelee wala asiwe mgombea tena,
neno moja tu kwenu ccm na magufuli na washarika wenu wote hata kama mkimtoa asigombee tena message delivered
watanzania hawaitaki tena ccm hata kama mngekuja na mbinu gani haisaidii tena is matter of time
tukishindwa sisi kizazi hiki kile kijacho kitawatoa na historia itawahukunu
neno moja tu kwenu ccm na magufuli na washarika wenu wote hata kama mkimtoa asigombee tena message delivered
watanzania hawaitaki tena ccm hata kama mngekuja na mbinu gani haisaidii tena is matter of time
tukishindwa sisi kizazi hiki kile kijacho kitawatoa na historia itawahukunu