Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,195
Mnajua sisi wanaume tunaumia sana kulea mtoto ambae unaambiwa ni wako lakini kwa macho ukimuona tu unajua hapa nimebambikiwa kufanana kafanana na Mangi muuza duka.
Ni sawa kitanda hakizai haramu lakini mnapochepuka chepukeni na box za Condom mbona zinatolewa kwa msaada tu zile za MSD.
Hivi mnajua machungu ya kulea mtoto ambae unajua kabisa siyo wako lakini kusema tu unashindwa unabaki kumezea,
Alafu sasa watoto wa namna hii wanakuwaga ving'ang'anizi kinyama kuliko ata yule ambae unahisi ni mtoto wako wa damu.
Ukiamka kenyewe ndio ka kwanza kukulilia alafu kama una kagari kanapenda sana ukape funguo na kukimbilia huko ukipigishe starta kirizike.
Yaani wanakujaga na Moto kinoma .
Lakini tufanye nini sasa mmeshatupatia basi hatuna budi kuwalea lakini muwage na huruma ata kidogo ,
Ukiona mtoto wa kiume kafa ujue kafa na Mengi moyoni.
Ni sawa kitanda hakizai haramu lakini mnapochepuka chepukeni na box za Condom mbona zinatolewa kwa msaada tu zile za MSD.
Hivi mnajua machungu ya kulea mtoto ambae unajua kabisa siyo wako lakini kusema tu unashindwa unabaki kumezea,
Alafu sasa watoto wa namna hii wanakuwaga ving'ang'anizi kinyama kuliko ata yule ambae unahisi ni mtoto wako wa damu.
Ukiamka kenyewe ndio ka kwanza kukulilia alafu kama una kagari kanapenda sana ukape funguo na kukimbilia huko ukipigishe starta kirizike.
Yaani wanakujaga na Moto kinoma .
Lakini tufanye nini sasa mmeshatupatia basi hatuna budi kuwalea lakini muwage na huruma ata kidogo ,
Ukiona mtoto wa kiume kafa ujue kafa na Mengi moyoni.