Hata kama kitanda hakizai haramu.

Hata kama kitanda hakizai haramu.

Mmmh ,,unanitisha ndugu ,,mke wangu mja mzito bado pregnant lakini siamini kama ni mimi
 
Si vibaya kulea mtoto wa mwemzako pengine na wewe unalelewa wa kwako au nawe ulilelewa na baba si wako....cha msingi lea tu hujui cha kuja kukufaa na kukuzika mbeleni
 
Na kwanini ukae kimya mkuu, yani kabisa unakubali kubambikiwa duuuh
 
Mnajua sisi wanaume tunaumia sana kulea mtoto ambae unaambiwa ni wako lakini kwa macho ukimuona tu unajua hapa nimebambikiwa kufanana kafanana na Mangi muuza duka.

Ni sawa kitanda hakizai haramu lakini mnapochepuka chepukeni na box za Condom mbona zinatolewa kwa msaada tu zile za MSD.

Hivi mnajua machungu ya kulea mtoto ambae unajua kabisa siyo wako lakini kusema tu unashindwa unabaki kumezea,

Alafu sasa watoto wa namna hii wanakuwaga ving'ang'anizi kinyama kuliko ata yule ambae unahisi ni mtoto wako wa damu.

Ukiamka kenyewe ndio ka kwanza kukulilia alafu kama una kagari kanapenda sana ukape funguo na kukimbilia huko ukipigishe starta kirizike.

Yaani wanakujaga na Moto kinoma .

Lakini tufanye nini sasa mmeshatupatia basi hatuna budi kuwalea lakini muwage na huruma ata kidogo ,

Ukiona mtoto wa kiume kafa ujue kafa na Mengi moyoni.
Pole sana Mkuu, endelea kule tuu bila kinyongo chochote sababu huwezi kujua ya kesho. Narudia pole sana Mkuu,mjini ujanja upo wa aina nyingi.
 
nikigundua saa 4 kamili mtoto nayelea si wa kwangu saa nne na dakika moja tunamwimbia mtu parapanda.
Umenichekesha sana mkuu wakati hiyo unaanzisha hiyo parapanda kabla ata waitikiaji hawajaitikia na wewe utakuwa tayari kwenye karandika kwenda kunyea debe.
 
Pole sana Mkuu, endelea kule tuu bila kinyongo chochote sababu huwezi kujua ya kesho. Narudia pole sana Mkuu,mjini ujanja upo wa aina nyingi.
Siyo mimi mkuu ujumbe ni kwa wale waliyonayo mioyoni mwao.
 
Mimi nikagundua TU ndo nakuacha Hakuna Cha mswalia mtume Wala kristo..pita hivi na Mimi nipite kushoto.na kwa taarifa yako mke wangu Kama unasoma comment yangu Sasa hivi nakupa tahadhari maana Sasa hivi najiandaa nitafute hela nikampime huyu mtoto wetu DNA
Tayari hapa kunafuka moshi
 
Umezee ya nini... Chukua mtoto, toka nae kama unaenda kumnunulia kitu, mpange daktari awapime.

Kama si wako, unawaambia kila la heri.
 
Mnajua sisi wanaume tunaumia sana kulea mtoto ambae unaambiwa ni wako lakini kwa macho ukimuona tu unajua hapa nimebambikiwa kufanana kafanana na Mangi muuza duka.

Ni sawa kitanda hakizai haramu lakini mnapochepuka chepukeni na box za Condom mbona zinatolewa kwa msaada tu zile za MSD.

Hivi mnajua machungu ya kulea mtoto ambae unajua kabisa siyo wako lakini kusema tu unashindwa unabaki kumezea,

Alafu sasa watoto wa namna hii wanakuwaga ving'ang'anizi kinyama kuliko ata yule ambae unahisi ni mtoto wako wa damu.

Ukiamka kenyewe ndio ka kwanza kukulilia alafu kama una kagari kanapenda sana ukape funguo na kukimbilia huko ukipigishe starta kirizike.

Yaani wanakujaga na Moto kinoma .

Lakini tufanye nini sasa mmeshatupatia basi hatuna budi kuwalea lakini muwage na huruma ata kidogo ,

Ukiona mtoto wa kiume kafa ujue kafa na Mengi moyoni.

Mbona sie tunakubali watoto wa kambo
 
Back
Top Bottom