Hasira zinaniharibia mahusiano

Hasira zinaniharibia mahusiano

Hello,

Nafahamu kwenye wengi kuna mengi, tuachane na huu msemo. Naomba mnisaidie jinsi ya kukabiliana na hasira.

I broke up with 2 people kwasababu ya hasira, tena hasira zangu huwa ziko complex. Mfano sioni shida kumwambia mtu tuachane kisha naanza kuumia mwenyewe. Nikijaribu kurudi nakuta block kubwa yaani kufuli kubwa sana.

Nataman kuwa na mahusiano but hayadumu kwasababu ya hasira. Nisaidieni nipone.
Jifunze kunyamaza unapokua na hasira, zikitulia tafuta maneno positive ya kuzungumza na mpenzi wako ili muwekane sawa
 
Bwana Powder
Sio nia yangu kuleta picha hiyo uliyoijenga. Niwie radhi kama nimekwaza. Ila topic muhimu kwenye reply yangu ilikuwa ni kumjengea picha kuwa, hayuko peke yake. Sio muhanga pekee wa jambo la hasira, na niliazimia kumuelekeza pia,
Tupo pia ambao hasira zilituvunjia makubwa zaidi ya mahusiano. Ni namna tu ya kuanza kumnasihi mtu.

Aidha nilinuia pia kuelezea kila kitu kwenye post moja ila nadhani Tekno yangu haina speed ya kuridhisha.

Asante na niwie radhi Boss
Noted.......

Hujui tu umuhimu wa Ushauri wa huyo Mwl.... Kuuweka hapa, kutokana na matatizo ya simu zetu hizi za Tecno, bado naamini utauweka hapa kwenye comments zako zitazofata.....!

So bado nasubiri (Tunasubiri).... Then baada ya kuuweka huo ushauri hapa, ntarudi kukwambia kwa nini niliusubiri...!!
 
Hizo mbinu bintimrembo anataambiwa amcheki pm.
Sasa hivi kila sehemu ni mwendo wa kutumia fursa tu.
Wala hata sipo hivo ndugu yangu. Mm ID yangu hii ni Verified, halafu sitafuti mambo hizo jamiiForums. Kama ukipitia nyuzi zangu utajua mimi ni mtu wa namna gani.
 
Ego inakusumbua wewe
Na maringo pia

Anyway ukiendeleza hiyo tabia utakuja kustuka umechakaa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom