Hasira zinaniharibia mahusiano

Hasira zinaniharibia mahusiano

Siku nyingine unapo mwambia mwanaume neno (TUACHANE) tayari automatically linamuingia akilini na anaanza kuishi nalo kwamba haupo nae pamoja tena, sana anaweza akawa nawe kwa mazowea tu kwasababu wakato huo anakua hama mbadala wako.
Wee jamaa huwa una Maneno mazur Sana sema TU iyo avartar yako
Wengi huwa wanashindwa kukuchukulia Kama uko serious

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeeleza story mingi ambazo hazikua na umuhimu wowote, then ile topic ya Muhimu ambazo ni mbinu alizokupa Mwl umeziacha Makusudi......!

Then huu ndo umeuita mchango kwa huyu Binti...
Hizo mbinu bintimrembo anataambiwa amcheki pm.
Sasa hivi kila sehemu ni mwendo wa kutumia fursa tu.
 
Hello,

Nafahamu kwenye wengi kuna mengi, tuachane na huu msemo. Naomba mnisaidie jinsi ya kukabiliana na hasira.

I broke up with 2 people kwasababu ya hasira, tena hasira zangu huwa ziko complex. Mfano sioni shida kumwambia mtu tuachane kisha naanza kuumia mwenyewe. Nikijaribu kurudi nakuta block kubwa yaani kufuli kubwa sana.

Nataman kuwa na mahusiano but hayadumu kwasababu ya hasira. Nisaidieni nipone.
Ok, pole ni kweli kuachana ktk mahusiano kunaumiza!
Sasa mie nakushauri hapo jitahidi kutafuta neno lingine la kumtamkia mpenzi wako lisiwe kumwambia tuachane, maana hilo neno lina mchomo mkali na kuna wengine ukishamtamkia hivyo, hapohapo na yeye anashika time zake serious, ndo hayo ukijirudi unakuta ashagwa kiwanja kwa mtu mwingine!
 
Ipo nguvu ya kuithibiti akili yako na sio mambo ya nje yako, Kuna muda hisia huondoa uhalisia na kuna muda unahitaji hisia ili kupata uhalisia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom