Mmmm! Leo nimepatikana, sawa n ndoaHili ni kosa lingine namba mbili, kumbe unatamani HARUSI na SIO NDOA..![]()
Nitajitahid niwe nafanya ivKama wapenda amani kwa nini usianze kuchunguza hiyo mifarakano inatokana na nini maana sine ukawa unawalaumu wanaume kumbe tatizo lipo kwako
Siku nyingine unapo mwambia mwanaume neno (TUACHANE) tayari automatically linamuingia akilini na anaanza kuishi nalo kwamba haupo nae pamoja tena, sana anaweza akawa nawe kwa mazowea tu kwasababu wakato huo anakua hama mbadala wako.Huwa napenda aman nikiona hatuko vizur huwa nahis nimechokwa zen najikuta nimesema ivi
Mbona username yako tayari inatueleza kwa nini huoni shida kumwambia mtu tuachane.....ungekuwa ng'ong'ozo wala usingekuwa na jeuri hiyo![]()


dahKwahyo nifanyaje sasaSiku nyingine unapo mwambia mwanaume neno (TUACHANE) tayari automatically linamuingia akilini na anaanza kuishi nalo kwamba haupo nae pamoja tena, sana anaweza akawa nawe kwa mazowea tu kwasababu wakato huo anakua hama mbadala wako.
Shida ni hasira hapo, sasa pambana kuacha hasira iende zake ikuachie furahaHello,
Nafahamu kwenye wengi kuna mengi, tuachane na huu msemo. Naomba mnisaidie jinsi ya kukabiliana na hasira.
I broke up with 2 people kwasababu ya hasira, tena hasira zangu huwa ziko complex. Mfano sioni shida kumwambia mtu tuachane kisha naanza kuumia mwenyewe. Nikijaribu kurudi nakuta block kubwa yaani kufuli kubwa sana.
Nataman kuwa na mahusiano but hayadumu kwasababu ya hasira. Nisaidieni nipone.
Una umri gani?. Longest relationship yako ni muda gani? What defines you? Are you forgiving person?Hello,
Nafahamu kwenye wengi kuna mengi, tuachane na huu msemo. Naomba mnisaidie jinsi ya kukabiliana na hasira.
I broke up with 2 people kwasababu ya hasira, tena hasira zangu huwa ziko complex. Mfano sioni shida kumwambia mtu tuachane kisha naanza kuumia mwenyewe. Nikijaribu kurudi nakuta block kubwa yaani kufuli kubwa sana.
Nataman kuwa na mahusiano but hayadumu kwasababu ya hasira. Nisaidieni nipone.
Nahitaj kujua namna gan nipambaneShida ni hasira hapo, sasa pambana kuacha hasira iende zake ikuachie furaha
Wee mwanamke akishajijua mzuri au ana tako basi muda wowote anakuambia tuu. Maana anajua kwenye black book yake wapo wanaume kibao wanamtaka
Hahahaha mwanzo wa kujua tatizo ndio mwanzo wa kupata utatuzi!Hello,
Nafahamu kwenye wengi kuna mengi, tuachane na huu msemo. Naomba mnisaidie jinsi ya kukabiliana na hasira.
I broke up with 2 people kwasababu ya hasira, tena hasira zangu huwa ziko complex. Mfano sioni shida kumwambia mtu tuachane kisha naanza kuumia mwenyewe. Nikijaribu kurudi nakuta block kubwa yaani kufuli kubwa sana.
Nataman kuwa na mahusiano but hayadumu kwasababu ya hasira. Nisaidieni nipone.
1. Behaviour kikeKwahyo nifanyaje sasa
Asante sana, umenisaidia nitajitahidHahahaha mwanzo wa kujua tatizo ndio mwanzo wa kupata utatuzi!
Kikubwa usi complicate maisha, watu wenye hasira sana ni wale wanaochukulia kila kitu serious. Upe ubongo wako likizo kwa kuacha mambo mengine yaende kama yalivyo. Usitolee macho sana kila ishu![]()
NimeshakujibuUna umri gani?. Longest relationship yako ni muda gani? What defines you? Are you forgiving person?
Naomba majibu yako either hapa au PM then nitakwambia what i think unatakiwa kufanya.
Wee mwanamke akishajijua mzuri au ana tako basi muda wowote anakuambia tuu. Maana anajua kwenye black book yake wapo wanaume kibao wanamtaka


Inawezekana ninachokosea pale napoficha udhaifu wangu kwakuogopa labda atanikimbiaNimejaribu kusoma comment za wadau any way wote wamekushauri vzri ila na mimi nilitaka kujua mqchache toka kwako ili nikushauri
1. Je? Unapo ingia kwenye hayo mahusiano huwa unapata muda wa kuchunguzana ili kufahamiana
Vzri?
Au ndo ile ukipewa ofa ya diner na vinywaji mkisha kwich kwich ndo mahusiiqno tqyari
Jitahidi unapo anza mahusiano jaribu kumweleza mwenzako mambo ambayo huyapendi inawezekana ni kweli una hasira lakini mwenzako anakuwa hajui kama amekuudhi mwishi wasiku akikuudhi mna break up
Mwisho ila siyo lazma jitahidi kujiweka wazi kwa mwenzako aendane na madhaifu yako ili kuepuka mikwaruzno zisizo lazma kwasabu bado namini hakuna aliye mkamilifu sema tuna tofautiana