Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
acha kuwa extrimist
hata birthday watu wasisheherekee kwa kuwa wewe una maisha magumu?
acha kuwa extrimist
hata birthday watu wasisheherekee kwa kuwa wewe una maisha magumu?
mkuu yanawezekana jamaa amekosea lakini hiyo kauli yako ifute ni kauli nzito sana hata kama una hasira na alichosema
Mi wala sijakosea maisha yangu ndi ni magumu sasa<br />
unadhani nina raha<br />
sijasherekea b/d yangu loongtime<br />
pouwa the bio dabo s
mie mwenyewe nimemaind kufa m2 yeye anazo anakula hapi,mie m2mish wake ananilipa chn ya laki 3 birthday ntaijulia wapi masikin
<br />Mmmh we acah tu si unacheki kiza kimetawala nji nzima af yeye na wifi wamnakula raha <br />
hapo juu aghhhhhhhh!!!!!!!!!!!!
mkuu yanawezekana jamaa amekosea lakini hiyo kauli yako ifute ni kauli nzito sana hata kama una hasira na alichosema
acha kuwa extrimist
hata birthday watu wasisheherekee kwa kuwa wewe una maisha magumu?
Mi wala sijakosea maisha yangu ndi ni magumu sasa
unadhani nina raha
sijasherekea b/d yangu loongtime
pouwa the bio dabo s
<br />mzalendo naomba uangalie vizuri post hapa jukwaani , sio mimi niliyesema una maisha magumu <br />
ila nilikuwa najaribu kukutetea naomba uwe makini na kwa kuwa fair futa hiyo nukuu uliyonijibu kisha nenda kamjibu THE BOSS ok
ni Kwa zamu mkuu don't fear!But i hope my country will View attachment 35511