Hasira hasara

Hasira hasara

Ukweli ni mzuri sana.
Naaaaam iko hivyo ila IKUMBUKWE SINA CHUKI HASIRA WALA HASARA NA MTU ILA NITAISHI KWENYE KULIPA KISASI NI SUALA LA MUDA TUU SITOJIVIKA VAZI LA UNAFIKI WALA KUKUMBATIA MZINGA WA NYUKI HUKU NAUMWA NA NYUKI HAO


TARATIBU NDO MWENDO NGOJA NIRUDI KIOTANI KWANGU!!!!!!!!!!!!
 
Msamaha sio rahisi kama unavyo hubiriwa na watu wa dini ama motivational speaker.......... msamaha unahitaji aliyekosewa aone sasa inahitaji niachilie ama nilipe kisasi ama wacha KARMA ichukue mkondo wake,,

Mioyo imeumizwa, kujeruhiwa, kulia kukosa matumaini na hata kupoteza Uaminifu na kuona haina maana ya kuwa na ndugu, familia mahusiano, kazi na marafiki


NB IKUMBUKWE SINA CHUKI HASIRA WALA HASARA NA MTU ILA NITAISHI KWENYE KULIPA KISASI NI SUALA LA MUDA TUU SITOJIVIKA VAZI LA UNAFIKI WALA KUKUMBATIA MZINGA WA NYUKI HUKU NAUMWA NA NYUKI HAO

NIRUDIA NITAISHI KWENYE KULIPA KISASI CHA YALE YALIYOFANYWA NA KUTOKEA NI SUALA LA MUDA TUU

VITA WALIYOANZISHA ITAISHI NA KUENDELEA KUDUMU.........
mbaya zaidi jamaa anakuharibia mipango na michakato yako alafu yake anataka iende sawia
 
Back
Top Bottom