Hashim Lundenga

Hashim Lundenga hatimaye Ameomba radhi kwa watanzania woote....kuhusu kufanya miss tanzania siku ya majonzi!
 
Hashim Lundenga hatimaye Ameomba radhi kwa watanzania woote....kuhusu kufanya miss tanzania siku ya majonzi!
Atoke zake huko,wapemba watu wazuri sana katika biashara hapa mjini then bwana mkubwa anataka kutuharibia uhusiano wetu bwana.
 
mange ni mpambe nuksi wa vodacom,,sijui ataifutaje kauli yake aliyoitoa kuhusu ajali hiyo na miss Tanzania.
 
Hahahahaaaa,,,,,,,anaomba radhi au anatoa pole,,,,,,,,,,,lundenga alishawah kusema kuwa hata wasipomzika wata,,,,,,,,,,mtupa ,maana atanuka,,,,,mtu kama huyu inakupasa umfikirie anafikiriaje??????
 
kufikir kutumia masaburi, maana yke huwa n nn? M huwa celew kabisa io kitu
 
Yes, si unajua baadhi ya watu wanaojifanya na kujiita maarufu na baadhi ya wanasiasa wanafikiri kwa kutumia MAKALIO badala ya vichwa!!
<br />
<br />
hana uchungu na Watanzania. Niliamini kuwa wazee wanabusara, ila kwa Lundenga ni zero. Anafurahia kuchungulia mapaja na chuchu za wajukuu zake.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom