C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,753
wapi kidoti?
Alikimbia ukubwa wa tango
wapi kidoti?
Labda mwenyewe hujijui, lakini ukweli ni kwamba umekuwa ukimfuatilia kwa undani huyu braza kwa muda mrefu sana. Kulikoni?
Una kitu gani kinachokufanya ufuatilie Twitter postings za dume mwenzako kila mara hadi kuishia kuiba picha zake na kuzi-post jukwaani bila idhini yake?
Inaoenekana una hulka za kike wewe! Aibuuuu!!
picha kaweka mwenyewe twitter mbwiga wewe....after all shori mkali sema kembambaaa.....
afu kafanya mazoezi utoe kitambi hicho mtoto wa kiume/jike
W sepetu yuko juu sana,huyo gal wa Hasheem hamfikii hata kwa thelusi moja!kawaida xana wala cjaoona sbb ya kupamba haya maneno kias hki!hata sepet anampiku.
wapi kidoti?
Wanaosrma kuwa ni demu wa kawaida naomba waweke picha za mademu zao hapa tucheke