road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Hakuna kitu lijamaa liliua uchumiWachache sana wataelewa kwa sasa
Hakuna kitu lijamaa liliua uchumiWachache sana wataelewa kwa sasa
Madege. Hayana faida na hayatakaa yalete faida akili ndogo haitawali kubwa shirika litakufa soon kama mwendazake asante MuumbaATC sasa hii sifa Dar-Kilimanjaro=68,000/=??? Hakika precision wakatafute kazi nyingine. Ufipa wamenunia Dreamliner
Viva hasaraViva Air Tanganyika
Heri ya Paska!Viva hasara
whats your problem?Kikundi fulani wamekuja na hoja dhaifu eti kwanini tumenunua ndege maana tutapata Hasara! Seriously? South African Airways, KQ, Rwandair hawapati Hasara?
Ndege inachagiza maendeleo ya sekta nyingine kwenye uchumi kama UTALII, biashara/uchuuzi.
Leo hii mtu anapaa Dar-Mwanza kwa ndege=132,000/= tsh. (1-way) Wakat ndege ya mwana-SACCOS mwenzao ilikuwa 450,000/= tsh. (1-way)
HakikaTu-isupport ATC ni Mali na fahari kwetu wote.
Inaweza kweli ikawa si hoja. Ninachoshauri, kila kitu kiwekwe bayana na sio kuongelea kwa juu juu kuwa sekta nyingine zinainuliwa kwa kuwa na ndege.Kikundi fulani wamekuja na hoja dhaifu eti kwanini tumenunua ndege maana tutapata Hasara! Seriously? South African Airways, KQ, Rwandair hawapati Hasara?
Ndege inachagiza maendeleo ya sekta nyingine kwenye uchumi kama UTALII, biashara/uchuuzi.
Leo hii mtu anapaa Dar-Mwanza kwa ndege=132,000/= tsh. (1-way) Wakat ndege ya mwana-SACCOS mwenzao ilikuwa 450,000/= tsh. (1-way)
Watanzania siyo wabishi kabisa, bali ni walalamikaji wa kutisha. Kulalamika dhidi ya serikali ni jadi yetu, iko kwenye damu yetu kabisa. Mvua isiponyesha tutailaumu serikali, na mvua ikinyesha tutailaumu serikali pia. Tusipokuwa na uwanja mzuri wa mpira tutailaumu serikali na tukijengewa uwanja mzuri tutailaumu serikali pia na kuanza kung'oa viti uwanjani!Watanzania ni wabishi kwa asili. Tulipokuwa hatuna ndege walitaka ndege sasa ni kukosoa tu. Hongera Mheshimiwa.
SureWatanzania ni wabishi kwa asili. Tulipokuwa hatuna ndege walitaka ndege sasa ni kukosoa tu. Hongera Mheshimiwa.
AsanteHasara ni sehemu ya biashara