Hasara kwa shirika la ndege si hoja

Hasara kwa shirika la ndege si hoja

Kikundi fulani ama tuseme sehemu ya familia/SACCOS fulani toka kanda yenye mlima mrefu Afrika, wamekuja na hoja dhaifu eti kwa nn tumenunua ndege maana tutapata Hasara! Seriously? South African Airways, KQ, Rwandair hawapati Hasara? Ndege inachagiza maendeleo ya sekta nyingine kwenye uchumi kama UTALII, biashara/uchuuzi...Leo hii mtu anapaa Dar-Mwanza kwa ndege=132,000/= tsh. (1-way) Wakat ndege ya mwana-SACCOS mwenzao ilikuwa 450,000/= tsh. (1-way)
Kweli hasara sio hoja?! Unajua jinsi KQ na SAA zinavyoendeshwa kwa kodi za walalahoi? ATCL itakufa au hata sasa haileti faida yoyote na haitaleta faida kamwe. Wewe subiri uone jinsi wakuwa watakavyoficha ukweli huu kwa kuagiza mabilioni ya walipa kodi kutengwa kuliendesha shirika kihasara. Biashara ya ndege ni ngumu sana siku hizi hata shirika kongwe na maarufu kabisa la ndege duniani THOMAS COOK limekufa juzi na Uingereza haikuweza kuliokoa. Muda utasema ukweli.
 
Mi nadhani sote kwa upamoja wetu tulipaswa kuuvaa uzalendo wa kweli ..silaha ambayo ingetuwezesha kupambania maendeleo ya nchi yetu,kupongezana kwa dhati panapo mmoja wetu kafanya jambo kwa maslahi ya waTZ walio wengi,kurekebishana kiuungwana pasi na kukiuka taratibu za ustaarabu wa mwanadamu pia, kupendana na kuthaminiana.
 
Mi nadhani sote kwa upamoja wetu tulipaswa kuuvaa uzalendo wa kweli ..silaha ambayo ingetuwezesha kupambania maendeleo ya nchi yetu,kupongezana kwa dhati panapo mmoja wetu kafanya jambo kwa maslahi ya waTZ walio wengi,kurekebishana kiuungwana pasi na kukiuka taratibu za ustaarabu wa mwanadamu pia, kupendana na kuthaminiana.
Hongera Mzalendo
 
Kikundi fulani ama tuseme sehemu ya familia/SACCOS fulani toka kanda yenye mlima mrefu Afrika, wamekuja na hoja dhaifu eti kwa nn tumenunua ndege maana tutapata Hasara! Seriously? South African Airways, KQ, Rwandair hawapati Hasara? Ndege inachagiza maendeleo ya sekta nyingine kwenye uchumi kama UTALII, biashara/uchuuzi...Leo hii mtu anapaa Dar-Mwanza kwa ndege=132,000/= tsh. (1-way) Wakat ndege ya mwana-SACCOS mwenzao ilikuwa 450,000/= tsh. (1-way)
Wewe njoo ujisome huku uprove right hiyo zero IQ yako.

Ulijifanya mjuaji kumbe hujui kuwa ulikuwa hujui.!
 
Back
Top Bottom