Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,944
- 12,509
Ni kweli usemayo. Pesa yetu inazunguka kwa uhalali hakuna mianya kama ilivyokua kwa serikali iliyotangulia. Mfano zamani kilikua na kununua wapinzani, kuteua na kutumbua, kunyima uhuru wa habari, kauli za kipuuzi (cherehani 4) n.k. kwa kweli sasa hv tuko salama kabisapesa lazima kuzitolea jasho, zile za deals sahau, mifumo imewekwa hakuna mianya ya kupeana pesa kiholela. Mathalani, Malipo serikalini sasa unapewa Control # ili pesa iende panapohusika sio mifukoni pa wajanja wachache