Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,
Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary Massenge Sherehe hii iatanyika kuanzia jioni saaa Moja leo.
Na baaada ya Send off Week Ijayo Ndio Harusi itafanyika Dar.
Wadau hizo ndizo habari zilizo tufikia to Arusha.
Siku Njema na SEND OFF NJEMA kwa wakazi wa Arusha
Kwa taaarifa sahiii kutoka kwenye chanzo chetu kutoka huko Arusha kuwa Nape Nnauye Katibu Muenezi CCM kupata jiko lake week ijayo,
Habari zinasema kuwa leo katika Mji wa Arusha katika viwanja vya General Tyre kunafanyika Send off(Party) na Bibi harusi mtarajiwa kwa jina ni Mary Massenge Sherehe hii iatanyika kuanzia jioni saaa Moja leo.
Na baaada ya Send off Week Ijayo Ndio Harusi itafanyika Dar.
Wadau hizo ndizo habari zilizo tufikia to Arusha.
Siku Njema na SEND OFF NJEMA kwa wakazi wa Arusha