Harris Kapiga na utangazaji wake wa habari

Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.

Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy

kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??
Mimi ananiudhi tu anavyobadilisha sauti yake juzi kati nilimsikiliza kwenye radio ikabidi nibadilishe channel maana natambua sauti yake ya zamani ila nilichogundua anataka kutuaminisha eti kanenepa na hela zimemtembelea so sauti inabadilika nayo.

Bogus kabisa na kanisa lake
 
Mimi ananiudhi tu anavyobadilisha sauti yake juzi kati nilimsikiliza kwenye radio ikabidi nibadilishe channel maana natambua sauti yake ya zamani ila nilichogundua anataka kutuaminisha eti kanenepa na hela zimemtembelea so sauti inabadilika nayo.

Bogus kabisa na kanisa lake
Hivi ana kanisa?

Waumini wapo?
 
This nigger
img_5996-2zd6z6f2ejeohzq6iu4phm.jpg
Msela mbna anaitesa ngozi yake ivi....
 
Daaaah kuna kipindi kama sikosei wik mbil zimepita cha dakika 45 it yan niliboreka sana pale unamwona mwendesha kipindi akiweka maoni yake na misimamo yake ilihal yy pale kaz yake ni kusimamia utaratibu wa uwakilish wa kipindi na kinyume ya apo, yan bohera anamhoji msigwa lakin anaweka misimamo yake ambayo haina mising
 
Akiwa huyo jamaa kwenye habari nabadilisha channel,..... Sijui huu utangazaj ni wa namna gan na kautolea wap!?
 
umevamia rafk yangu. hayo mambo ya vijana tunayaelewa sisi vijana, kakae na mkeo/mumeo haya mambo yaache kabisa wallah ukitaka ugomvi na mimi nijibu vibaya uone, nakuheshimu

Acha mikwara, kwani uongo xxl haina kelele? Mwanzo mwisho ni kelele!
 
Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.

Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy

kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??

Ningependa kabla ya kuponda umsifie kwanza, hata kwa zuri moja tu alilofanya kabla ya ilo baya ulio liona. Chuki binafsi
 
Huyu jamaa asee anaBOA sana usomaji habari wake. Huyu ndio alinifanya niache kuangalia clouds tv habari.
Clouds tv tafadhali huyu Kapiga asiwe anasoma Habari!
 
Kali kupita yote ni kile kipindi cha mchana sijui wanakiita XXL.

Yani ni kelele tupu. Hujui hata mantiki ya vitu vinavyoongelewa.

Ujinga mtupu.
Ujue mnazingua sahv...mbona station zpo nyingi kwan lazma clouds?? Acheni kudisi bana wanaotaka kusikiliza clouds watasikiliza....km hutaki pga chn alaaaa
 
Back
Top Bottom