DR.CYPRIAN
Senior Member
- Sep 3, 2013
- 151
- 67
Yule jamaa hua anzingua sana..huwezi soma news ki-comedy..
Anakumotivate kwan?Harris umotivation speaker na MC ndio kinachomfaa na aendelee nao by profession asijaribu vile anavyoona BBC, CNN au any international broadcasting. Binafsi I hate it.
Hell NOAnakumotivate kwan?
Sasa ulivosema ni motivation speaker nikajua anakumotivate wewe...Hell NO
Mimi ananiudhi tu anavyobadilisha sauti yake juzi kati nilimsikiliza kwenye radio ikabidi nibadilishe channel maana natambua sauti yake ya zamani ila nilichogundua anataka kutuaminisha eti kanenepa na hela zimemtembelea so sauti inabadilika nayo.Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.
Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy
kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??
Kaparatu, simpendi huyu mtuChanganya na yule wa kipindi cha malumbano ya hoja Itv mnene sijui anaitwa nani mtu akitoa maneno anapenda sana na yeye kuweka upuuzi wake hasa akigundua huyo mtu sio detail sana
Hivi ana kanisa?Mimi ananiudhi tu anavyobadilisha sauti yake juzi kati nilimsikiliza kwenye radio ikabidi nibadilishe channel maana natambua sauti yake ya zamani ila nilichogundua anataka kutuaminisha eti kanenepa na hela zimemtembelea so sauti inabadilika nayo.
Bogus kabisa na kanisa lake
Msela mbna anaitesa ngozi yake ivi....This nigger
Kaparatu amekaa kama mlinziKaparatu, simpendi huyu mtu
David CameronThis nigger
Ahh mzee! Kapiga alipokorofishana na Mama Lwakatare alianzisha kanisa lake pale Sinza kamanyola linaitwa Nchi ya Ahadi.Hivi ana kanisa?
Waumini wapo?
umevamia rafk yangu. hayo mambo ya vijana tunayaelewa sisi vijana, kakae na mkeo/mumeo haya mambo yaache kabisa wallah ukitaka ugomvi na mimi nijibu vibaya uone, nakuheshimu
Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.
Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy
kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??
aa wapiAcha mikwara, kwani uongo xxl haina kelele? Mwanzo mwisho ni kelele!
Ujue mnazingua sahv...mbona station zpo nyingi kwan lazma clouds?? Acheni kudisi bana wanaotaka kusikiliza clouds watasikiliza....km hutaki pga chn alaaaaKali kupita yote ni kile kipindi cha mchana sijui wanakiita XXL.
Yani ni kelele tupu. Hujui hata mantiki ya vitu vinavyoongelewa.
Ujinga mtupu.