Harris Kapiga na utangazaji wake wa habari

roxna

Member
Jul 24, 2012
66
64
Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.

Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy

kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??
 
Binafsi sioni kama ni shida kwa kua vituo ni vingi na kila kituo kinatafuta utofauti ili kupata watazamaji wengi.

Star Tv (kama sijakosea) waliwahi kuja na usomaji wa habari kwa kusimama kama gwaride sijui yaliwashinda vipi

Kama inakusumbua jaribu kuzingatia kiini cha habari tu comment achana nazo haitakusumbua sana mkuu.
 
Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.

Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy

kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??

Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?
 
Binafsi sioni kama ni shida kwa kua vituo ni vingi na kila kituo kinatafuta utofauti ili kupata watazamaji wengi.

Star Tv (kama sijakosea) waliwahi kuja na usomaji wa habari kwa kusimama kama gwaride sijui yaliwashinda vipi

Kama inakusumbua jaribu kuzingatia kiini cha habari tu comment achana nazo haitakusumbua sana mkuu.
kama umenipata vizuri mantiki yangu ilikua kwenye kutoa opinion yake binafsi kama anashauriana na mtu kumbe anapresent habari ambayo inaangaliwa na watanzania wengi.....kuhusu startv kusimama sio issue ni utofauti wao...
 
Nadhan haihitaji uwe na taaluma ya habari ndio ujue kuwa anachofanya sio sahihi ..!!

Maon huwa yanaweza kuwekwa kwenye makala ama majadiliano ama yakatolewa na yule aliyeenda kuisaka hiyo habari mtaan lakin sio yule anaesoma habar studio..!!
 
Yani hakuna msoma habari bored kama uyu please please clouds uyu jamaa kusoma habari hafai u much know umemzidi mpaka anaharibu hats kile kipindi cha gospel track na kipindi cha terminal anaongea sana mpaka radha ya kipindi inapotea yeye kila kitu anakijua na anataka watu wajue anakijua

Haingi kina masoud kipanya wao wanafanya mambo kibao mjini hapa ila haayapeleki redioni kujiexpres ila uyu jamaa dah haya kazidi mpaka anaboa tunajua huu uzi unaupitia ebu badilika

Kule kusoma habari uku unacheka cheka na kuinua inua mikono kuiga watangazaji wa BBC sure CNN acha wewe huwezi unaboa be you usige
Tabia ya kuwa kipindi cha radio unaongea weee mambo yako binafsi na kusahau kipindi kinataka nini acha unaboa unaongea sana
 
Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.

Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy

kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??
Umeshasema ni maoni yake,mbona hupendi kusikia maoni ya wengine?
 
Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?
Mkuu angalia sheria ya makosa mitandaoni
Ohooo faini million saba
 
Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?
Kwa kawaida hawa huandaa siku maalum yenye ujumbe mahsusi ikinakshiwa na vibwagizo vitamu. Tunawasubiri waandae hiyo siku ya kampeni kama walivyoiandaa ile siku ya usafi ili kutekeleza agizo la Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul C. Makonda.
 
Back
Top Bottom