Harrier T...BXL hii sio crash ni karashi!

Harrier T...BXL hii sio crash ni karashi!

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Jamani leo nimekutana na huyu mtu wa Harrier si kuwa nime crash nae ni kuwa ameniletea msala barabarani.

Ilikuwa hivi niko mandela road alfajiri leo kuna mahali nilikuwa nawahi sasa kufika eneo la mwananchi pale kwenye kiungio cha reli kuna mashimo na leo nilikuwa na ka baby walker so nikapinda kulia kukwepa mashimo kisha nikarudi main road ili niendelee maana kuna siku nilipota hapo kwa speed nikayavaa mashimo tairi ikatoka kwenye rim.

Sasa nyuma yangu ndo kulikuwa na hii harrier ilikuwa inakuja ikataka kunipita wakati mie nakwepa shimo ile narudi barabarani akawa kama kaniblock kwa mbele.

Tukatupiana maneno hapo kisha nikamwambia nenda basi muda unaisha maana ningekuwa nakata kona ningewasha indicator.

Aliniboa baada ya kuondoka akakaa site ya kulia mie nikapita ya kushoto akawa anaendesha kawaida, kwa vile nilikuwa na haraka nikakanyaga mafuta baby walker yangu nimpite nae akakanyaga wese baada ya kuona nampita nusura amgonge mtu wa bodaboda yaani aliniboa mnoo na ndo ilikuwa alfajiri.

Yaaani wewe harrier T...BXL popote ulipo ulichonifanyia leo sijakipenda hata.
 
Mambo mengi yamenikabili mimi,ambayo yameniweka mashakani.amnapo moyo ndio kiini.
Ukatamani mimi niishi kwenye ghorofa uwezo wangu hautoshi kulala hata katika sofa.
Moyo huu unanichanganya mimi,kutaka nimiliki vitu vyenye gharama,kwa mlenda na dagaa si mahindi wala nyama.
 
Kudadadeki! Sired nyengine yatupasa tuvae miwani ili tung'amue lengo kuu la mleta mada!
Kasinde wadada wasio na gari watakuchukia ujue! Then wakaka wanaopenda mtelezo watakusumbua bure! Si kila issue ni ya kuleta hapa na kujadiliwa!
...
Ngoja nianze kukudoea, kumbe unagari ee?!
 
Kudadadeki! Sired nyengine yatupasa tuvae miwani ili tung'amue lengo kuu la mleta mada!
Kasinde wadada wasio na gari watakuchukia ujue! Then wakaka wanaopenda mtelezo watakusumbua bure! Si kila issue ni ya kuleta hapa na kujadiliwa!
...
Ngoja nianze kukudoea, kumbe unagari ee?!

Hapo kwenye RED ni thread
 
Kudadadeki! Sired nyengine yatupasa tuvae miwani ili tung'amue lengo kuu la mleta mada!
Kasinde wadada wasio na gari watakuchukia ujue! Then wakaka wanaopenda mtelezo watakusumbua bure! Si kila issue ni ya kuleta hapa na kujadiliwa!
...
Ngoja nianze kukudoea, kumbe unagari ee?!

hata mie nina gari pia karibu Visiwani basi kama wapenda kudowea
 
Zinduna nilikuuliza swali zamani sana!

mpaka leo umebaki na kigugumzi sijui kwanini!!?

bado upo upo ama vipi?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom