and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,105
Dr. Hamorappa
Hata singrend kama over sizeKuna kitu kinafanyika kwa kumtumia huyu jamaa, ukiangalia kwa picha tu hafananii kabisa maisha hayo... Ona jeans aliyovaa
Angali singrend mkuuIna nn na wwe
Abadili ajiite nani? Akibadili na yeye anabadili anaongezea rapa kwa mbelehivi harmonize hawezi badili jina ili amuachie huyu jamaa? maana kufananishwa na watu wa ajabuajabu namna hii hatareee
Ashakuwa staa mwenzako. Unataka kujifananisha nae??Anautafuta ustaaa kwa tochi
Uuuuuwiiiiiii!!!Abadili ajiite nani? Akibadili na yeye anabadili anaongezea rapa kwa mbele

Ni wewe kama ulikuwa hujui.Hamorapa ni nani? Sorry, nimekua nikisikia hilo jina ila sijui ni nani?
kweli mkuu ila huyo dada ni mjanja mjanja pole pole mambo yatanyooka vizuri.Penzi laweza chipuka popote.
Abadili ajiite nani? Akibadili na yeye anabadili anaongezea rapa kwa mbele
hapo atakuwa analake analotafuta sasa.