Harmonize unamuimbia nani Kiingereza?

Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu

Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki

I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi karibuni umekua tofauti sana unaimba nyimbo zenye lugha ya Kiingereza binafsi naona unatukosea

Of the heart

Exalioth
Mzee wa A go die na kila video lazima avue shati yaani lazima awe kitumbo wazi kama vile anatumikia masharti ya mganga wake.
 
sema nyimbo zake nyingi za kingereza kama hazina mtu wa kuzipitia kabla hazijatoka asee kingereza cha hovyooo kabisa kwa karne hii
 
Kwenye "One night stand" ndo kaniacha hoi baada ya kutamka "one night STAND" Kama ilivyo, ye anaimba "one night STEND" ambayo inapotosha maana ya wimbo.
 
Namuangaliaaa halafu nasema hiiiiii
JamiiForums769446487.jpg
 
Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu

Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki

I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi karibuni umekua tofauti sana unaimba nyimbo zenye lugha ya Kiingereza binafsi naona unatukosea

Of the heart

Exalioth
Kwamba unachotaka we ndio afanye.Hiyo ni platform mpya kwake.Jiulize wazungumzaji wa kiswahili duniani ni wangapi,nakiingereza ni wangapi na hapo utajua ni kwa vp anaweza kuongeza solo la Muzik I wake kwani atawafikia watu wengi zaidi duniani.
 
Kwamba unachotaka we ndio afanye.Hiyo ni platform mpya kwake.Jiulize wazungumzaji wa kiswahili duniani ni wangapi,nakiingereza ni wangapi na hapo utajua ni kwa vp anaweza kuongeza solo la Muzik I wake kwani atawafikia watu wengi zaidi duniani.


Hiyo sababu achana nayo, kulikuwa na reasoning kama hiyo kule twitter, mi ndio nikawapa mfano wa Angelique Kidjo. Kabla ya COVID 19, alifunika kwenye platforms zote ulimwenguni. Harmonize na Kiingereza chake hawezi kuitwa kufanya performance kwenye Grammy Awards.
Angelique Kidjo huu mwezi March alifunika first page ya New York Times, na lugha anayotumia hata mimi wa kutoka Afrika siielewi. Sasa nyinyi na Kiingereza chenu cha your sweet tomato like banana mbele mbele mnatutia aibu tu.
 
Mzee wa A go die na kila video lazima avue shati yaani lazima awe kitumbo wazi kama vile anatumikia masharti ya mganga wake.
kuna clip alikuwa harusini dogo akavua shati, kwa akili yake anaamini anawapagaisha mademu akiwa kifua wazi
 
Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu

Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki

I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi karibuni umekua tofauti sana unaimba nyimbo zenye lugha ya Kiingereza binafsi naona unatukosea

Of the heart

Exalioth
Harmonize - Fall in love


Hili goma ni hatari sanaaaa
 
Back
Top Bottom