Ukabila bado ni tatizo kubwa sana
Hahah nakubali mkuu.Trust me..Wamakonde wanawazidi wasukuma kwa ulimbukeni
Kuna tofauti kati ya ukabila na utani wa kikabila
Kizungu kipi unachoongelea kifaransa,kidachi,kireno au🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kizungu kipi unachoongelea kifaransa,kidachi,kireno au
analenga international audienceMoja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu
Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki
I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi karibuni umekua tofauti sana unaimba nyimbo zenye lugha ya Kiingereza binafsi naona unatukosea
Of the heart
Exalioth
Harmonise anaimba hivyo makusudi wanaiga wanaigeriaI go die.
Dadangu mbona nyimbo za kingereza tunazisikiliza hapa nchini tangu enzi za mwalimu?Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu
Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki
I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi karibuni umekua tofauti sana unaimba nyimbo zenye lugha ya Kiingereza binafsi naona unatukosea
Of the heart
Exalioth