Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,913
- 12,987
Yaani siku hizi ukiangalia nyimbo nyingi za harmonize hakuna kipya utakachokiona zaida ya mtu anaimba huku amezungukwa na wanawake.
Halafu yupo kifua wazi hakuna ubunifu wa mavazi, style inaonekana jamaa chini ya label yake anaamua kila kitu yeye mwenyewe.
Halafu yupo kifua wazi hakuna ubunifu wa mavazi, style inaonekana jamaa chini ya label yake anaamua kila kitu yeye mwenyewe.