hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
imagineNikajua mzigo wa kimakonde umemwagwa hadharani kumbe hamna kitu, pambafff zao
imagineNikajua mzigo wa kimakonde umemwagwa hadharani kumbe hamna kitu, pambafff zao
Ila kwa zile chat ina onekana asha kavunja.Vita Kali Kati ya nyota wa Mziki wa bongo fleva na mmiliki wa label ya konde gang Harmonize na Mkali wa bongo fleva na mmiliki wa label ya Next level music Rayvanny au Vannboy mtu mbaya mtu mbadi imechukua Sura mpya.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram , Vannboy amemuwakia vibaya Harmonize Kwa kile kilichodaiwa kumtumia picha za utupu Paula wa kajal Kwa Nia ya kutaka kumsambazia upendo huku akitambua yupo kwenye mahusiano na mama yake mzazi .....
Ikumbukwe kuwa ni wiki chache zimepita tangu sakata zito la Rayvanny kupost video za faragha akiwa na Paula Hali iliyoibua mjadala mkali miongoni mwa wadau mbali mbali nchini na kama hyo haitoshi Jambo hlo lilifika mpak vyombo vya Sheria huku Harmonize akidaiwa kuongoza mashitaka hayo.
Sakata hili linaibuka ambapo pia Harmonize anatuhumiwa kumtishia kumuua sambamba na kumtukana matusi Mwanadada Presenter Maimartha Jesse...huku pia mwanadada huyo akitishia kumpeleka mahakamani Harmonize
Anaandika Rayvanny
" Dunia inamaajabu yake lakini sijawahi ona mtu wa ajabu kama wewe my bro @harmonize_tz Ni binadamu wa aina gani wewe ambae unataka kua na mama na mtoto pia tena kwa nguvu zote na unatuma hadi utupu wako bila hata kuogopa nafasi ulionayo kwenye jamii kujidhalilisha kua kama ulivyozaliwa na angali wewe ni kioo cha jamii.
Ni roho ya ajabu sana ulionayo yani KILA NIKIKUWAZA SIPATI JIBU NDUGU YANGU. Ulikua unawapigia simu viongozi mbalimbali juu ya swala langu mimi sasa nawaza leo hii utawaangaliaje ??
Wewe ni balozi wa kampuni na zimekupa heshima kama balozi sasa nawaza unapata wapi ujasiri wa kutuma utupu wako ni kampuni gani inakubali fedheha hii na je wanakuonaje kwa kitendo hiki ulichokifanya kinachodhalilisha wanawake hasa mama ? Hivi hukumfikiria mama ambae aliekupa heshima wewe na kukuweka karibu na kukutambulisha familia yake ?
Yani unataka ukatembee na mwanae wa damu yani mwanae wakumzaa? LEO HII MWANAO WAKIKE AKIKUA AKASIKIA UCHAFU HUU ANAKUONA NI BABA WA NAMNA GANI WEWE UNAEMTAKA MAMA NA MTOTO ?
USHAURI WANGU: OMBA RADHI KWA WAZAZI NA KINA MAMA NIKIWA NA MAANA WANAWAKE AMBAO NI MAMA ZETU WANASTAHILI HESHIMA SIO KUDHALILISHWA KAMA ULIVYO FANYA WEWE NA UNAIGIZA KAMA HAKIJATOKEA KITU.....
UKIHESHIMIWA BASI JIHESHIMU
View attachment 1749664
Kwa chati zile usha kula vyomboDaaa wanaume huwa tuna tamaa sana,harmonize asilaumiwe kama ni kweli,hebu vaa viatu vya harmonize ungekuwa ww ungeweza kuvumilia kuona katoto chuchu dodo kama paula kakijitipisha mbele yako?sema harmo kaenda less sana kwa paula angeenda slow slow mbona angetafuna kuku na mayai walahi!
Sio vizuri kwa familia inayojiheshimu lakini familia ya malaya kama wale weka tusio kizuri na sio kitendo cha kiungwana kula mama na mtoto. Mjomba Nchumali kaaribu sana
Mshukuru Mungu mkuu. Dunia ni duara, usimnenee mwenzako maneno mabaya huku hujui miaka 10 mbeleni, juu ya watoto wake au mke au ndugu zakoSio vizuri kwa familia inayojiheshimu lakini familia ya malaya kama wale weka tu
Jamaa ni pepoHajui kutongoza
unapotaka kutongozA binti wa demu wako.Familia lzm ziwe na uzungu wa kijinga.Formula inayotumika ambayo haitakutia aibu ni kujenga mazoea mabaya au yaliyopitiliza na mwanae kipindi mama mtu hayupo..
Yaani unamzoea mtoto vby sana story story za kijinga mixer kumsifia mama ake kimapenzi kiutani sana yaani mtoto akimuona mama ake anakumbuka maneno yako tu.Mtoto akiwaona pamoja anawaza ujinga unamwambia kuhusu sifa za mama ake.Kwanza story hizo zimejaa shauku na hamu ya kuzisikia,zinamfanya mtoto atamani kujua zaidi kipi kimekufanya uache vijana umtamani mama ake mtu mzima.Pili, zinamfanya ajione km mama yangu mtamu basi hata yeye atakuwa mtamu..
Ukishamjengea shauku ya kusikia utamu na uzuri wa mama ake atakuwa anatamani kusikia ujinga ujinga wako coz unamfanya aji compare automatic na mama ake..
Sasa anza maswali ya kijinga
hivi mtoto anaweza kuridhi utamu wa mama ake kweli?akisema ndio,we unakataa tu haiwezekani mama lazima awe mtamu zaidi
Halafu siku zote mwambie mama ako amekuzidi kila kitu mixer kumwambia kuna vitu kakupunja hajakurithisha haya unayasema kwenye story story zenu na mazoea ya kijinga mkiwa wawili...
Ukielekea chumbani na mama ake yeye muage kitofauti as if ndo naenda hivyo kumtafuna maza ako.Mlingishie flani hivi
Si mnajifanya mna uzungu mwingi mixer kucheza pamoja??siku cheza nae. Mbambie makusudi kwa mbali mbali dindisha mguse nao kwa mbali mbali msome reaction yake.
Kifupi inahitaji ujanja mwingi sana ,mwendo wa kobe,mbinu za kutosha na mazoea mabaya
Yote kwa yote ili uweze kumtafuna mama na mwanae lazima na wao wawe na kaasili kalaana,mbinu zinaweza kukusaidia ila sio mara zote.
aisee !Kamkula
Kalikuwa kana mvuta tu. Kama yale ma sawaka yanavyo wavyta mwabavp Wajuba hapa kaliwa au badoView attachment 1749956
Kuna wanawake sio wa kuwatongoza kiutaniutani tu unakula!kutongoza kipaji,kula kisela a.k.a kinasihara ni kipaji pia
Hapo inaonyesha keshaliwa kitambo then wakaanza kupoteza so harmo akawa anataka wapashe kiporovp Wajuba hapa kaliwa au badoView attachment 1749956
Kimasihara yaniHajui kutongoza
unapotaka kutongozA binti wa demu wako.Familia lzm ziwe na uzungu wa kijinga.Formula inayotumika ambayo haitakutia aibu ni kujenga mazoea mabaya au yaliyopitiliza na mwanae kipindi mama mtu hayupo..
Yaani unamzoea mtoto vby sana story story za kijinga mixer kumsifia mama ake kimapenzi kiutani sana yaani mtoto akimuona mama ake anakumbuka maneno yako tu.Mtoto akiwaona pamoja anawaza ujinga unamwambia kuhusu sifa za mama ake.Kwanza story hizo zimejaa shauku na hamu ya kuzisikia,zinamfanya mtoto atamani kujua zaidi kipi kimekufanya uache vijana umtamani mama ake mtu mzima.Pili, zinamfanya ajione km mama yangu mtamu basi hata yeye atakuwa mtamu..
Ukishamjengea shauku ya kusikia utamu na uzuri wa mama ake atakuwa anatamani kusikia ujinga ujinga wako coz unamfanya aji compare automatic na mama ake..
Sasa anza maswali ya kijinga
hivi mtoto anaweza kuridhi utamu wa mama ake kweli?akisema ndio,we unakataa tu haiwezekani mama lazima awe mtamu zaidi
Halafu siku zote mwambie mama ako amekuzidi kila kitu mixer kumwambia kuna vitu kakupunja hajakurithisha haya unayasema kwenye story story zenu na mazoea ya kijinga mkiwa wawili...
Ukielekea chumbani na mama ake yeye muage kitofauti as if ndo naenda hivyo kumtafuna maza ako.Mlingishie flani hivi
Si mnajifanya mna uzungu mwingi mixer kucheza pamoja??siku cheza nae. Mbambie makusudi kwa mbali mbali dindisha mguse nao kwa mbali mbali msome reaction yake.
Kifupi inahitaji ujanja mwingi sana ,mwendo wa kobe,mbinu za kutosha na mazoea mabaya
Yote kwa yote ili uweze kumtafuna mama na mwanae lazima na wao wawe na kaasili kalaana,mbinu zinaweza kukusaidia ila sio mara zote.
Manyoya unayaona unauliza nini tenavp Wajuba hapa kaliwa au badoView attachment 1749956