samwel amos
Member
- Feb 10, 2014
- 68
- 17
hana adabu hy bibi yang ni bora nijivue ujukuu akhaaa
Ningeenda kushangilia mpambano mkuuhahaaaaaaa ungeenda kuamulia au
hahahahaaaa mkuu Mimi ntakuwa mshika dhamana wakohalaf dogo mda cyo mref natinga hapo bongo likizo. Jiandae kwa mfulululizo wa makofi.
Ngeseh ww
Yamekauka mdomoni kwako mzee?Sijala mate mda mrefu sana..