Harmonize anafanya nini Marekani?

Kuna kipindi Nilipitia Instagram Niliona Kama Harmonize Anataka Kwenda Marekani Kufanya Tour Kule. Nilijiuliza Vitu vingi sana kuanzania Management aliyonayo, Promoters Anao Watumia na Aina ya Nyimbo alizo nazo na Watu alio washirikisha.
Lazima atafanya kolabo.
So, mwisho wa siku safari yake haitakuwa na hasara.
 
Kuigaiga tu,Diamond kaenda marekani na yeye anataka aende km mtoto wa kambo.
Nyimbo zenyewe nyimbo gani anaimbaga huyu mmakonde
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kuna kipindi Nilipitia Instagram Niliona Kama Harmonize Anataka Kwenda Marekani Kufanya Tour Kule. Nilijiuliza Vitu vingi sana kuanzania Management aliyonayo, Promoters Anao Watumia na Aina ya Nyimbo alizo nazo na Watu alio washirikisha.

Kuimba Kiswahili na kwenda kuperform Taifa ambalo haliongei kiswahili na kutegemea waswahili kujaza Kwenye Show Yako Ni Kujitafutia Matatizo.

Siku Za Mwanzo Niliona Video za Show Zake Akiwa Anajaza Kiasi cha Kuhamasika kama Mtanzania, Hasa Show aliyopiga Siku Ya Kwanza.

Lakini Kadri siku zinavyokwenda Naona Ni Kama Show zinakuwa Mbovu sanaaaa Kiasi kwamba Naona Aibu mimi, Japo kazi anayo fanya ni kubwa.

Well, Kama Promotor anamlipia Gharama zake za show ambazo ziko Fixed Well and Good Hatapata hasara itabaki kwa alie andaa show, so suala la Harmonize kujaza halitamuhusu. Ila kama Anafanya show then pesa inayopatikana ndio wanagawana Ni Bora Akarudi Tanzania Kuandaa hit Songs zingine Kali au kufanya Show Kubwa Dar Es Salaam au mikoani Kufidia Hasara Anayo endelea Kutengeneza.

Ni Vizuri akachange Return Ticket yake mapema. Kama Video nazomuona Akifanya show ni Zake Basi tuna Safari ndefu na Ngumu sanaaa Kuhusu Muziki Wetu wa BongoFleva.

Inakuwaje Msanii Mkubwa Kama Harmonize Afanyie Show Mlangoni tena palipo Andikwa EXIT? as if Kwenye Show kuna Wahuni ambao Anytime wanaweza kufanya chochote?

Inakuwaje Anaenda Kuimba Nyimbo za Kampeni ya Magufuli Marekani Huku Akiwataja UGANDA NATION?

Kuna Shida Pahala Hasa Kwenye Management ya HARMONIZE, Harmonize ni msanii mkubwa sana Sio wa Kutendewa haya yanayoendelea Marekani.

Niliwahi kusikia Nigeria Kuwa wanacheza saba Nyimbo zake kwanini asiende Huko? Au Somalia, Madagascar na Kwingine?

Jembe Ni Jembe Jitafakari sana Daktari.
Mpaka mzigo uishe ndo arudi bongo.

Kaa kwa kutulia, dogo anakula shortcut
 
Back
Top Bottom