Harmonize ametiwa mbaroni na yuko jela hapa Kenya sasa hivi. Amekamatwa kwa utapeli. Inasemekana amelipwa pesa ila amekataa kufanya show. Ila kuna jambo limefanyika kati ya Eric Omondi na Harmonize ambalo hatuelewi.
Harmonize ametiwa mbaroni na yuko jela hapa Kenya sasa hivi. Amekamatwa kwa utapeli. Inasemekana amelipwa pesa ila amekataa kufanya show. Ila kuna jambo limefanyika kati ya Eric Omondi na Harmonize ambalo hatuelewi.
Hii kesi inakanganya kweli. Tapeli ni nani kati ya Eric Omondi na Harmonize?
Ni wivu ama ni nini!!?Safi sana.
Leo wakenya mnifurahisha.
Hapo hapo endeleeni kushikiria.
Hawa wasanii matapeli na wajanja wa TZ hii ndio dawa yao. Wamezoea kudhulumu na kujifanya wana pesa za kuchezea kumbe ni njaa kali na wezi wakubwa.
Yupo jela au mahabusu?Harmonize ametiwa mbaroni na yuko jela hapa Kenya sasa hivi. Amekamatwa kwa utapeli. Inasemekana amelipwa pesa ila amekataa kufanya show. Ila kuna jambo limefanyika kati ya Eric Omondi na Harmonize ambalo hatuelewi.