JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
Wanasema kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza, muone Prof Hamo akijaribu kuwa Harmonise.
That opening verse ya Harmonize kwenye Kwa ngaru ni kali kuliko career yote ya Ali Kiba.
Wakuu povu ruksa
Konde noma sana,chalii anajua vibayaHuyu mtoto wa kuitwa Konde boy ni nyoko aisee
Sio kujua tu,tuulize na sisi watu wa ukanda ule....tunajua njia nyingi za kupitaKonde noma sana,chalii anajua vibaya
Njia zipi? funguka Mkuu.Sio kujua tu,tuulize na sisi watu wa ukanda ule....tunajua njia nyingi za kupita
Konde noma sana,chalii anajua vibaya
Naona kaamua kukiwasha this timeHuyu mtoto wa kuitwa Konde boy ni nyoko aisee
Naona kaamua kukiwasha this time
hahahaha wamebuniAlafu kuna media zinataka kutuaminisha kuwa hiyo ngoma hamna kitu.
Na hata kwenye orodha zao za top ten haipo.
Sana ,akiimba mapenzi yuko vizuri,akiimba shida bado yuko njema ref ule wimbo wa matatizoHuyo mtoto akiendelea kukaza bila kubweteka atafika mbali sana,namkubali sana
masikini u got shit in ur brainAnother soul sell-out.
Hakika, bidii yake inaonekana.Kijana anajituma kiukweli.
Aise we jamaa, yaani umeona lipsi tu?Jamaa kamzidi hata Harmonize,dah huyu mrembo aliyesimama nywele kama tambi kazuriii lips zinafaa kunyonya dushe
Jamaa ana lake huyo.Aise we jamaa, yaani umeona lipsi tu?