Harbinder Singh Sethi aliyenunua IPTL ni nani?

n00b

JF-Expert Member
Apr 10, 2008
1,006
2,667
Huyu singasinga ambaye ni mkurugenzi wa PAP nilikuwa sijapata kumsikia kama mwekezaji wa umeme hapa nchini lakini ameibuka ghafla baada ya gazeti la The Citizen kuandika habari juu ya kampuni yake ya PAP kununua ITPL kinyemela.

Juzi alisema kwenye mkutano na vyombo vya habari ambapo alimwaga Sh350,000 kwa kila mwandishi wa habari aliyekuwepo kuwa anatokea Dubai.

Mtaani kuna tetesi kuwa huyu jamaa anatumiwa na watu wanaomiliki PAP na mojawapo ya majina yanayohusishwa na kampuni hiyo ni mkwe wa bwana mkubwa.

Mwenye taarifa zaidi anaweza kusaidia.
 
Yale yale!!! Ya Symbion na mwarabu asiye pigwa picha. Hiyo ndiyo Ccm bwana! Chama cha familia.
 
Kamanda we mgoogle tu.Huyu sing kafanya nadeal ya namna hii mengi 2 huko Kenya na South Africa yeye ni sura nyuma kawaida yake kuna wanasiasa.Kwahiyo sishangai kwenye hili la IPTL.Kenya kunarepoti kibao kuhusu ushiriki wake na Moi Family.
 
acheni wajanja waile hii nchi - mimi nimeshajikatia tamaa!!!
 
Executive chairman, Harbinder Singh Sethi – who owns IPTL via a holding company known as Pan African Power Solutions LTD
IMG-20140311-WA008.jpg
The IPTL company secretary and the chief counsel, Joseph Makandege (right) displays document at a press conference in Dar es salaam, with him is the Executive chairman, Harbinder Singh Sethi – who owns IPTL via a holding company known as Pan African Power Solutions Tanzania Limited (PAP)

----
Executive chairman, Harbinder Singh Sethi – who owns IPTL via a holding company known as Pan African Power Solutions Tanzania Limited (PAP) - denied any wrongdoing in the deal on Tuesday, saying he followed all the legal and regulatory procedures in the process.
³I followed all the procedures….I did not come to Tanzania to make money….I want to help Tanzania to get enough electricity that is vital in economic development,² he told a section of journalists in Dar es Salaam.


Mr Sethi puts the amount that was/is in the escrow account at about Sh150 billion, noting however that there was nothing wrong with his companytransferring the assets for IPTL - including money – to PAP since the latter is the legally-accredited holding company for IPTL.


Before being acquired by PAP, IPTL was owned jointly by a Malaysian firm, Mechmar Corporation and Tanzania¹s VIP Engineering and Marketing Company Limited, with the former controlling a 70 per cent stake.


The company, according to its secretary and chief counsel, Joseph Makandege operated peacefully for just about five years before unending wrangles erupted between the two shareholders - prompting money to be sent to the escrow account.


³With squabbles between shareholders, VIP became suspicious that the money would be defrauded so he sought a court order - demanding that money, paid by Tanesco [the Tanzania Electric Company Limited] to IPTL, should be deposited in the escrow account at the BoT,² he explained.


In 2010, Mr Sethi brought all the documents, confirming that he has been duly chosen as the custodian for all of Mechmar assets in Tanzania.


The court cases notwithstanding, Mr Sethi went ahead to buy all the shares that Mechmar had earlier sold to Piperlink and transferred them to PAP.

This, in essence, meant that Mr Sethi - through PAP – now owned 70 per cent of shares in IPTL, with VIP owning the remaining 30 per cent.


He later engaged VIP so he could buy the latter¹s 30 per cent stake. ³VIP agreed and was paid $7.51 million as down payment for a deal totalling $75million,² explained Makandege, noting that the remainder was covered later. Having settled the deal, VIP went to court requesting the judge to drop all the cases involving VIP and Mechmar.


The court ruled - on September 5, 2013 – in favour of VIP and all the cases were dropped. PAP was thus granted the ownership of all of IPTL assets -including money in the escrow account. PAP also agreed to pay all IPTL creditors.


The duty of the provisional liquidator ended there The new company, according to Mr Makandege, then embarked on a duty of searching for wherever IPTL assets were. It arranged a meeting with Tanescowhere they arrived at the right amount that the state-owned utility firm owed IPTL. ³In fact, Tanesco board directed the management to inform keystakeholders that there were no more disputes between the state power company and IPTL - resulting into an official end of depositing IPTL money into the escrow account,² he said.



The duty ahead of PAP remained that of making sure that money from the escrow account was transferred into the PAP account. ³With that, an agreement had to be signed between IPTL and the government through the Ministry of Energy and Minerals….it should be noted that money in the escrow account belonged to two of IPTL shareholders…..it was neither taxpayers¹ money nor money for Standard Chartered Bank Hong Kong,² said Mr Makandege.


The government also required PAP to sign an Indemnity Agreement to the effect that whenever a new creditor comes, then PAP would be responsible.

The government then wrote to BoT demanding that the money be released to the rightful and legally-accredited owner. ³That was how the money was released,² he explained.












TANESCO NA IPTL NI MHIMILI WA MAOVU NA UFISADI
Habari za uhakika Kutoka National Audit zinaonyesha kuwa CAG amemwandikia barua Katibu wa Bunge, akimwomba athibitishe rasimu ya hadidu za rejea 13 ambazo zitamwongoza katika ukaguzi huo unaosubiriwa na Bunge, wanasiasa na wananchi.
Moja ya hadidu za rejea ni uchunguzi wa iwapo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) aliisamehe kampuni hiyo kodi inayofikia Sh26 bilioni.
Mwishoni mwa wiki, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alilieleza Bunge kuwa ukaguzi katika akaunti hiyo ungefanywa na Ofisi ya CAG na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Watafiti wa mambo wanasema sakata la IPTL limechukua sura mpya baada ya majasusi wa USA na UK kuanza kufauatilia kwa makini suala hili ambapo imetajwa kwamba mhusika mkuu wa Suala hili Bardernder Singt Setti mkenya raia wa asia ni mshirika mkubwa wa Gedion Moi ambapo wote kwa pamoja wanatuhumiwa kumiliki mali za wizi kutoka serikali ya Kenya wakati wa utawala wa Rais Moi,
Ni ufisadi aliofanya Harbinder Singh Sett na Gedion ulioangusha serikali ya KANU Kenya na yeye kukimbilia South afrika ambako kuna mali nyingi za wizi zinazochunguzwa na majasus wa UK.
Kwenye sakata hili Gen Robert Mboma amenaswa na majasus hawa na taarifa za uhakika zimefika UK hadi wanakusudia kusitisha misaada kiasi cha £71,000,000 kwenye sekta ya umeme.
Shinikizo hilo linakuja baada ya Benk ya standard Charter Honh Kong Kufungua kesi London akidai Zaidi ya US$145,000,000 ambapo watumiwa ni Bardender Singh kwa ushirika na Watendaji wa serikali ya Tanzania.
Wafuatao ni redi colour kwenye sakata hili ambapo ni lazima watoke ili Mkulu apone:
(1).Eliakim Maswi
(2) Prof Muhongo
(3)Katibu Mkuu Hazina
(4) Fredrick Werema(AG)
(5) Robert Mbomar
(6)Albert Marwa mkwe wa JK kupitia kwa Salama (Ndoa hii JK alikataa kufunga)
.
.
Mwanasheria wa Tanesco anatajwa kuwashauri Mboma na wenzake kwenye bodi ya TANESCO lakini ushauri wake ukatupwa nay eye akajiuzuru
Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini mwaka huu inaweza kukwama kwa asilimia 100 na watu wengi wanatazama eneo la TANESCO kama sehemu ya ulaji.
TANESCO wanatumia pesa nyingi katika miradi ya umeme ambayo yote ni mibovu . Angalia pesa hizo hapo chini harafu ufananishe na kuondokana kwa tatizo la umeme katika maeneo husika:
(1)Mfumo wa usafirishaji umeme na usambazaji katika Mkoa wa Kilimanjaro uliogharimu Sh28 bilioni.
(2)Mfumo wa usambazaji umeme kwa jiji la Dar es Salaam mwaka 1991 kwa msaada wa JICA Sh63.4 bilioni.
(3) Mradi wa umeme Mkoa wa Kilimanjaro (1997) Sh 7.8 bilioni
(4)Mradi wa umeme DSM KV 132 Ubungo hadi Ilala awamu ya kwanza (1998 ) sh 18.5 bilioni
(5)Mradi wa Km7 KV 132 kutoka Ubungo hadi Makumbusho (2011) Sh 7.3 bilioni
(Bado haujazinduliwa hadi Leo kufuatia hitilafu nguzo 19 na 20)

(6)ukarabati wa kituo cha msongo wa KV 132/33 cha Ilala (2013) Sh827 milioni
(7) Ukarabati mkubwa wa kituo cha kupooza umeme Kilimanjaro (2013) Sh40.6 bilioni)
(8) Umeme kutoka Iringa - Dodoma – Singida – hadi Shinyanga wa Km 217, KV 400 (216) US$26 milioni




HARBINDER SINGH SETHI

Harbinder, a Kenyan Asian architect and constructor is currently resident in Sandton, Johannesburg. It has been reported that Sethi is used as a front man for Gideon and has business links to Biwott and Boinett. According to Msamaha, Sethi moved to South Africa immediately after the 1997 elections in Kenya. Msamaha opined that within the Moi family Sethi fronts only for Gideon and not Ex-President Moi. Sethi also fronts for Bill Boinnet. Boinnett and Sethi are very close and when Sethi visits Kenya he usually stays with Biwott.
Personal Details

UK Companies House records reveal that Harbinder Singh Sethi, a Kenyan national, was born on 10 January 1958. Research conducted within the UK reveals that Sethi's address is given as PO Box 46241,Tom Mboya Street, Nairobi, Kenya. Research conducted within South Africa reveals that Sethi's South African Identity Number (CIO Number) is 5801105424184.
South Africa

Closed Corporations Database searches reveal that Sethi is currently a 'member' of a large number of closed corporations eCC"), listed below. The CCs of which Sethi is a 'member' are registered under the following residential and postal address:
Residential: 8A Aberfeldy Avenue, Morningside, 2057 (this is the same as Sethi's previous address listed above). Postal: P.O.Box 4707, Rivonia, 2128
Of all the closed corporations listed below, database searches reveal Sethi is currently the director of only one, named Spirit Wind Investments 114, to which he was appointed on 7 October 2003. Although he is not listed as a director of the remaining 73 cc's, he is listed as a 'member' and personally registered the properties as closed corporations.
Sethi is a member of the following list of closed corporations:
Name of Closed Corporation Date of Appointment
Unit 18 Kingsley Place 17 January 2003
Unit 22 Kingsley Place 17 January 2003
58 Cambridge 06 February 2003
Spirit Wind Investments 114 07 October 2003'0
Rakhee Impex Trading 03 January 2002
Moneyline 1605 04 February 2002
Villa Via no 22 08 February 2002
Villa Via no 24 07 March 2002
Wetdan W47 14 March 2002
Erf 6536, Loots Park 27 June 2002
Erf 6542, Loots Park 27 June 2002
Erf 6544, Loots Park 27 June 2002
Wetdan W55 26 July 2002
Chalton Oakes no 47 02 August 2002
Via Veneto no 38 02 August 2002
Canterbury Close no 1 26 August 2002
Canterbury Close no 10 26 August 2002
Canterbury Close no 11 26 August 2002
Canterbury Close no 12 26 August 2002
Canterbury Close no 31 26 August 2002
Chalton Oakes no 40 26 August 2002
Darrenwood no 47 26 August 2002
Fontenay no 11 26 August 2002
Fontenay no 22 26 August 2002 II
Fontenay no 38 26 August 2002 i
Fontenay no 44 26 August 2002 !
Fontenay no 47 26 August 2002 !
Fontenay no 64 26 August 2002
Fontenay no 76 26 August 2002 I
Fontenay no 78 26 August 2002
Northwold Manor no 36 26 August 2002
Northwold Manor no 47 26 August 2002
Chalton Oakes no 42 26 August 2002
Ravens Hill no 29 26 August 2002
Northwold Manor no 9 26 August 2002
Ravens Hill no 46 26 August 2002
Ravens Hill no 47 26 August 2002
Ravens Hill no 49 26 August 2002
Ravens Hill no 51 26 August 2002
Riverglades no 159 26 August 2002
Riverglades no 255 26 August 2002
Rivergiades no 277 26 August 2002
Via Veneto no 14 26 August 2002
Via Veneto no 30 26 August 2002
Via Veneto no 34 26 August 2002
Via Veneto no 36 26 August 2002
Northwold Manor no 9 27 August 2002
Northwold Manor no 10 27 August 2002
Villa Via no 9 12 September 2002
Paraha Investments no 5 25 October 2002
Paraha Investments no 1 22 November 2002
Paraha Investments no 2 22 November 2002
Paraha Investments no 4 22 November 2002
Palu-Zara 25 November 2002
Unit 9 Kingsley Place 19 December 2002
Unit 11 Kingsley Place 19 December 2002
Thabazimbi Game Lodge 16 January 2001
Villa Via no 37 19 February 2001
Villa Via no 41 19 February 2001
Villa Via no 46 19 February 2001
Villa Via no 39 19 February 2001
Villa Via no 48 19 February 2001
Villa Via no 50 19 February 2001
Villa Via no 33 05 March 2001
Villa Via no 31 20 March 2001
Wallaby Properties 10 April 2001
Vexma Properties 200 19 April 2001
Toremar Investments 102 14 May 2001
42 Villa Via Developments 01 June 2001
Ri-Decent Diamonds (SA) 17 August 2001
Penohatek Electrical and Security Systems 04 Ju!y 2001
Ircoronata Trading 29 Jure 2000
Sethi has resigned form the following close corporation's:
Name of Closed Corporation Date of Appointment
Sixbar Trading 299 22 August 2000


images




images


Mr Harbinder Singh Seth akitoa Shs11,000,000 kwa George Kashushura, Kiongozi wa SACCOSS ya Kanisa la MT RITTA KIMARA DSM .Pesa hiyo imetolewa tarehe 21/3/2014 siku chache baada ya kukwapua fedha BOT

Hapo yupo na mwanasheria wa PAP aitwaye JOSEPH MAKANDEGE ambaye ndiye amemuunganisha Singa Singa (tapeli ) na Makanisa.Hata hivyo zipo taarifa kuwa Albert Marwan a Singa Singa huyo ni pete na kidole !!


[h=1]UK envoy speaks out on IPTL $122m controversy[/h]
ico_plus.png
Share
ico_bookmark.png
Bookmark
ico_print.png
Print
ico_email.png
Email Rating
british.png
British High Commissioner to Tanzania, Dianna Patricia Melrose speaks at Mwananchi Communications Ltd (MCL) office which is located at Tabata Relini in Dar es Salaam yesterday. PHOTO|SALIM SHAO
By Florence Mugarula ,The Citizen Reporter

Posted Wednesday, May 7 2014 at 00:00
In Summary

  • Ms Dianna Melrose commends the decision by the Public Accounts Committee and Controller and Auditor General to investigate the Sh198.25 billion transaction saga


SHARE THIS STORY

0
inShare​







Dar es Salaam. The United Kingdom and other development partners are concerned about the controversy surrounding the acquisition of Independent Power Tanzania Limited (IPTL), the UK's high commissioner to Tanzania said yesterday.

Ms Dianna Melrose commended the decision by the Public Accounts Committee (PAC) and Controller and Auditor General (CAG) to investigate the $122 million (Sh198.25 billion) transaction saga.

She also confirmed that she wrote to the Bank of Tanzania (BoT) governor, Prof Benno Ndulu, seeking to know on what grounds were the escrow billions released to Pan African Power (PAP) Solutions Limited while the main case was still pending before an international tribunal.

The UK envoy was speaking during a visit to the Mwananchi Communications Limted (MCL) head offices.

She said the IPTL issue was of "great concern" to the British government, adding that the high commission hadalready communicated with the relevant ministers in addition to writing to the BoT governor.

"We wrote to the BoT governor asking for elaboration after learning something about the escrow account," Ms Melrose said.

According to the envoy, the UK government was pleased that the matter was now being investigated and that there would be a comprehensive report on what really transpired.

"Let's wait for the results and see what really happened," she said.

However, Ms Melrose said the donor community was closely monitoring the unfolding scandal, adding that the UK had reason to be concerned as it was planning to provide £71 million (Sh177 billion) for Tanzania's energy sector in the next financial year. "The UK alone looks forward to providing £ 71 million to the energy sector in the next budget, so it is a concern for us when it comes to the IPTL issue," she said.

PAC in March ordered an audit to establish how PAP was paid billions of shillings from an escrow account after the company claimed it first bought 70 per cent of Malaysian firm Mechmar for an undisclosed amount and then acquired 30 per cent of VIP Engineering and Marketing for $67.5 million (Sh109.14 billion).

In terms of reference revised by the CAG and endorsed by PAC last week, the parliamentary oversight committee, among other things, directed that an investigation be carried out to establish whether the acquisition of the 70 per cent stake in IPTL was legal.

The CAG will also investigate the circumstances that allowed IPTL, which was under liquidation, to sell the stake to a new investor in 2010 as claimed by PAP executive chairman Harbinder Singh Sethi.

 
hapa adhabu kubwa sanaa ni hizo pesa zirudi mpaka senti ya mwisho,,
 
Hizo ndiyo deal za viongozi wetu maana si unajua ndoano bila chambo hainasi sasa sijui wametofautiana mpaka imenuka:fish:

Mkuu kiongozi ni mtawala mwenye kufuata maadili ya kazi kwenye utawala yaani Ethical Leadership is leading by knowing and doing what is right... Kama hafuati misingi hiyo huyo ni mtawala tu. Nadhani Africa tuna uhaba wa Viongozi ama hawapo kabisa baada ya wale wachache tuliopewa kwa majaribio ( Kwame Nkurumah,Nyerere,Mandela,Machel, Naser....) kumaliza incubation period yao duniani kwenye kufanya feasibility study!
 
Huyu Singh sio rafiki yake na Gideon Moi kweli maana ni maarufu sana kwa madeal

HARBINDER SINGH SETHI

Harbinder, a Kenyan Asian architect and constructor is currently resident in Sandton, Johannesburg. It has been reported that Sethi is used as a front man for Gideon and has business links to Biwott and Boinett. According to Msamaha, Sethi moved to South Africa immediately after the 1997 elections in Kenya. Msamaha opined that within the Moi family Sethi fronts only for Gideon and not Ex-President Moi. Sethi also fronts for Bill Boinnet. Boinnett and Sethi are very close and when Sethi visits Kenya he usually stays with Biwott.
Personal Details

UK Companies House records reveal that Harbinder Singh Sethi, a Kenyan national, was born on 10 January 1958. Research conducted within the UK reveals that Sethi's address is given as PO Box 46241,Tom Mboya Street, Nairobi, Kenya. Research conducted within South Africa reveals that Sethi's South African Identity Number (CIO Number) is 5801105424184.
 
Kwenye haya komba hawezi kuingia msituni.

Watafiti wa mambo wanasema sakata la IPTL limechukua sura mpya baada ya majasusi wa USA na UK kuanza kufauatilia kwa makini suala hili ambapo imetajwa kwamba mhusika mkuu wa Suala hili Bardernder Singt Setti mkenya raia wa asia ni mshirika mkubwa wa Gedion Moi ambapo wote kwa pamoja wanatuhumiwa kumiliki mali za wizi kutoka serikali ya Kenya wakati wa utawala wa Rais Moi,
Ni ufisadi aliofanya Harbinder Singh Sett na Gedion ulioangusha serikali ya KANU Kenya na yeye kukimbilia South afrika ambako kuna mali nyingi za wizi zinazochunguzwa na majasus wa UK.
Kwenye sakata hili Gen Robert Mboma amenaswa na majasus hawa na taarifa za uhakika zimefika UK hadi wanakusudia kusitisha misaada kiasi cha £71,000,000 kwenye sekta ya umeme.
Shinikizo hilo linakuja baada ya Benk ya standard Charter Honh Kong Kufungua kesi London akidai Zaidi ya US$145,000,000 ambapo watumiwa ni Bardender Singh kwa ushirika na Watendaji wa serikali ya Tanzania.
Wafuatao ni redi colour kwenye sakata hili ambapo ni lazima watoke ili Mkulu apone:
(1).Eliakim Maswi
(2) Prof Muhongo
(3)Katibu Mkuu Hazina
(4) Fredrick Werema(AG)
(5) Robert Mbomar
(6)Albert Marwa mkwe wa JK kupitia kwa Salama (Ndoa hii JK alikataa kufunga)
.
 
Back
Top Bottom