anamajina mengi ishu ya spm anaitwa lai
Huyu huyu singa singa ndiye aliyenunua kiwanda cha makaratasi Mgororo!!!
Nasikia Joseph Mungai ni Mkenya alietekeleza madeal mengi chini ya utawala wa CCM!
Huyo singa singa ni wanted nhi kibao ikiwemo Kenya lo sie ndio tunamuona muwekezji?
Mkuu nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa sana LAKINI usisahau kuwa mabeberu wako makini, wana mafungu ya kutosha kupindua serikali yoyote ile ktk Africa! Suala la kuhujumiwa kwa TANESCO kwa nyakati tofauti na hata kuwaleta netgroup solution ilikuwa ni ku-pave ways kwa Exxon Mobil via Symbion kuja kuchukua kazi zote za TANESCO! Wao wanajua kuwa waki-control power wanakuwa wame-control uchumi wa nchi hivyo kutufanya kuwa tegemezi wa bidhaa kutoka nje! Tambua kuwa makampuni mengi ya kimarekani yalipeleka uzalishaji China na sasa wanatafuta masoko kila kona ya dunia hii... Wachache tunajua kuwa Sysmbion soon wataanza uzalishaji na wateja wao wakuu ni migodi na viwanda vichache ..TANESCO watabakia na wateja wa majumbani ambao hawalipi kodi plus vishoka kila kona ... we are done Mkuu...my be next generation wanaweza kufanya vizuri zaidi...Mkuu kiongozi ni mtawala mwenye kufuata maadili ya kazi kwenye utawala yaani Ethical Leadership is leading by knowing and doing what is right... Kama hafuati misingi hiyo huyo ni mtawala tu. Nadhani Africa tuna uhaba wa Viongozi ama hawapo kabisa baada ya wale wachache tuliopewa kwa majaribio ( Kwame Nkurumah,Nyerere,Mandela,Machel, Naser....) kumaliza incubation period yao duniani kwenye kufanya feasibility study!
Ni kweli baba yake ni mkikuyu; huyu Mungai alitumia ubunge wa Mufindi kuhodhi maeneo makubwa ya ardhi wilayani Mufindi, ni fisadi wa kutupa!!!
kama ni hivyo kazi ya TISS ni nini
Hiyo cha motto Mkuu, Nasikia Jamaa alipewa TOR ya kuhakikisha anaua elimu ya Tanzania! ...
Moja ya hadidu za rejea ni uchunguzi wa iwapo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) aliisamehe kampuni hiyo kodi inayofikia Sh26 bilioni.
Duh! Eee bhana eee! Jamani jamani !
The Rostam's