Harbinder Singh Sethi aliyenunua IPTL ni nani?

Harbinder Singh Sethi aliyenunua IPTL ni nani?

Wapi TISS wetu jamani? Issue kama hizi zilikuwa wawe wamesema lolote. Au kazi yao ni kudeal na kina chadema, madaktari na walimu tu? Mara meno ya tembo na sasa wameingia hadi BoT kwa mara ya pili bado wao wamepiga kimya tu! Wapi uzalendo wao kwa wanaowalipa mshahara? Hebu watuonee huruma sisi tunaojichangisha vikodi vyetu kuwalisha na kuitunisha hazina yetu. Na huu mtindo wa familia za watawala kukimbilia kwenye kihenge kujichotea tuuu ni kitu gani? Hii ni aibu kiukweli hata mkituchekea mhmh! Hapana. Wawajibishwe wote bila kuangalia sura.
HUyo mhindi anaishi gorofa ya tano hoteli fulani hivi karibu na ufukwe wa bahari hindi, namba yake ya simu ni 0767......., huyo wakili wake anaye nduguye ambaye ni graduate wa UDSM Law, ni mkenya na ana asilimia 2 katika firm ya huyo wakili, huyo wakili wa singa singa alikua DBLS TRA for more than 10 yrs na ni rafiki wa karibu na mkuu wa kitengo cha DBLS TRA, wewe unahitaji kujua zaidi ya hapo??
 
Mkuu kazi ya TISS ilibadilishwa siku hizi wanajukumu moja tu la KUSHAURI!!! Enzi zile walikuwa wanafanya threat analysis na ikibidi wana take action kimya kimya!!! Yote haya yalifanyika chini ya utawala wa BWM...

Sijui ni nani aliyefanyia amendments ule wigo wa kukusanya taarifa, kuanalyse na kuchukua action pale inapoonekana kuna sababu ya kufanya hivyo...wala sitaki kumjua, ilauhalifu wa Tanzania nachelea kuuita uhalifu kwa kuwa ni michezo tu ya watoto wa mjini wanaotumia advantaje ya kutopenda kwetu kufuatilia mambo kupiga tu hela..

Hautuhitaji hata ofisa wa ngazi ya wilaya (D.S.O) kujua/kufatilia uhuni unaoendelea maeneo anuai ambayo kwa kiwango kikubwa ni uhujumu wa uchumi usio na SI unit...Taarifa zinakusanywa, na nina hakika zinafika zilikokusudiwa,ila kwa sababu ya upofu/ukiziwi wa kujitakia watawala wetu wanaweza kukutuma tena ukamshauri mhujumu/mwizi badala ya kuchukua proper action juu yake...
 
Bongo kila siku picha mpya tu.

Ok tusiseme mengi kwa waswahili wanasema ""Cha mlevi ..."
 
Sasa huyo singa singa mbona mwongo kuna mzungu,muhindi,mchina ambaye anakuja tanzania kusaidia tuu Never and Ever.Labda mimi mgeni Tanzania.........?Kama anataka kusaidia washushe bei watuuzie umeme kwa Break Even.
 
Nyaraka zote za EPA ziliandikwa kwa kizungu lakini wizi uligundulika!
Kiingereza kimetoka kwa Waingereza ambao Balozi wao ametoa angalizo la kusitisha misaada zaidi ya Shs177Billion kwenye bajet ya mwaka huu, je hulioni hili??

Ina maana hata CAG ambaye ameomba ana ananza ukaguzi hajui Lugha??
Pinda aliyetaka ukaguzi ufanyike hajui lugha??
Kule Bungeni Wabunge wa CCM hawakutoa hoja hiyo ina maana hawajui lugha??

mkuu
you've distorted my post ,i was not talking about CAG,the prime minister and the likes since they're the one paying the "buku 7" to do most of the jabbering at JF.
now here are the "buku 7" individuals i was trying to point out to Lizaboni Ritz Chabruma Simiyu Yetu et al.
nikuulize,umewaona wakichangia ktk bandiko lako?.lmao.
 
Last edited by a moderator:
Hebu fafanua hii Kwa jinsi unavyofahamu wewe!!

However, Ms Melrose said the donor community was closely monitoring the unfolding scandal, adding that the UK had reason to be concerned as it was planning to provide £71 million (Sh177 billion) for Tanzania’s energy sector in the next financial year. “The UK alone looks forward to providing £ 71 million to the energy sector in the next budget, so it is a concern for us when it comes to the IPTL issue,” she said.

duu!.mi naona nyota nyota tu mkuu.sielewi kizungu.labda utufafanulie.lol.
 
Hiyo haimaanishi msaada umesitishwa. Na hiyo niliyokuwekea bold, inamaanisha kuwa msaada utatolewa.

Wee kweli ni FF...yaani ulitaka Balozi aseme bayana kuwa...

"UK is going to suspend all planned Loans till IPTL issue is over"?

Kumbuka kuwa mabalozi huwa hawaongei makavu kama hapa JF tulivyozoea
 
Na Zile Idd Simba UDA alizoweka mfukoni jee?Robert Mboma Idd Simba ni mafisadi waliyokubuhu
 
IPTL goes back to 1994 waliozaliwa siku nyingi wanaikumbuka

When the incumbent President was the Minister for Energy, later Finance?

1995-2005Minister for Foreign Affairs and International Cooperation
1995-2005Member of Parliament for Chalinze Constituency
1994-1995 Minister for Finance
1990-1995 Member of Parliament for Bagamoyo Constituency
1990-1994 Minister for Energy, Minerals and Water Development
1988-1990Deputy Minister for Energy and Minerals
 
Sijui ni nani aliyefanyia amendments ule wigo wa kukusanya taarifa, kuanalyse na kuchukua action pale inapoonekana kuna sababu ya kufanya hivyo...wala sitaki kumjua, ilauhalifu wa Tanzania nachelea kuuita uhalifu kwa kuwa ni michezo tu ya watoto wa mjini wanaotumia advantaje ya kutopenda kwetu kufuatilia mambo kupiga tu hela..

Hautuhitaji hata ofisa wa ngazi ya wilaya (D.S.O) kujua/kufatilia uhuni unaoendelea maeneo anuai ambayo kwa kiwango kikubwa ni uhujumu wa uchumi usio na SI unit...Taarifa zinakusanywa, na nina hakika zinafika zilikokusudiwa,ila kwa sababu ya upofu/ukiziwi wa kujitakia watawala wetu wanaweza kukutuma tena ukamshauri mhujumu/mwizi badala ya kuchukua proper action juu yake...

Acha tuuu!!!!!!
 
hivi tangia awamu hii ya 4 iingie madarakani ni pesa kiasi gani zimepigwa jamani? mbona hii nchi inaendeshwa na watu wachache?
 
Kodi nyingine wamekuja kulipa huku!!
Sasa kama kamishina aliandika barua kutaka walipe kodi hara aliyepinga mchakato wa katiba mpya akamwambia Singa Singa alilipe sasa hiyo yako ilikuwa kodi ipi??
Maana aliyetakiwa kulipwa anasema Mamlaka yake hijapata kodi sasa hiyo unayosema wew ililipwa TRA IPI??
Who can over rule the power of Commissioner ??

images


Mr Harbinder Singh Seth akitoa Shs11,000,000 kwa George Kashushura, Kiongozi wa SACCOSS ya Kanisa la MT RITTA KIMARA DSM .Pesa hiyo imetolewa tarehe 21/3/2014 siku chache baada ya kukwapua fedha BOT

Hapo yupo na mwanasheria wa PAP aitwaye JOSEPH MAKANDEGE ambaye ndiye amemuunganisha Singa Singa (tapeli ) na Makanisa.Hata hivyo zipo taarifa kuwa Albert Marwan a Singa Singa huyo ni pete na kidole !!

Mkuu kodi imelipwa TRA bilioni 32. Usibishe vitu usivyovijua.
 
Ki ukweli viongozi wetu ni wagonjwa wa akili, may b tunahitaji x-ray or scan machine kujua aina ya ugonjwa walio nao, iwapo kama mambo hayo yote yanajulikana na watu kama hivi halafu people are still sliping, hapo tunahitaji mabadiliko ya vipimo ili tujue wanashida ipi,

Nmejifunza mengi sana kwenye hii mada aseee haka kanchi katamu, yaan kunawatu wansumbuka na maisha magumu wengine wanakula gudtym.. Duh MUNGU tusaidie
 
daaah kwa hali kama hii.... ni hatari sana na jibu la haya yote tuungane kuiondoa ccm madarakani bila hinyo tuongea sana bila mafanikio.
 
Kikwete lazima aweke mirija yake kwenye wizara na taasisi nyeti anaiba kwa mikono makalio na kila kitu huku tunaambiwa Ridhiwani kila pande la ardhi ya madini amechukuwa na huku tunaona kuna
Wafuatao ni redi colour kwenye sakata hili ambapo ni lazima watoke ili Mkulu apone:
(1).Eliakim Maswi
(2) Prof Muhongo
(3)Katibu Mkuu Hazina
(4) Fredrick Werema(AG)
(5) Robert Mbomar
(6)Albert Marwa mkwe wa JK kupitia kwa Salama (Ndoa hii JK alikataa kufunga)
yaani mkwewe mwizi kama yeye na wanawe wengine hii familia ni michwa Januari 2016 watafungwa wote we subiri
 
Bongo kila siku picha mpya tu.

Ok tusiseme mengi kwa waswahili wanasema ""Cha mlevi ..."

Chamlevi HULIWA na mgema! ... Mkuu nakubaliana na wewe lakini siyo wote katka familia ni walevi! Walevi ni wachache walioko CCM ndiyo wanaogawa mali zetu in exchange of zanzi na viroba vya pombe ya mnazi! Wagema (Westerners) wanafurahia sana biashara yao maana hawa ndugu zetu kila wakiamka asubihi wanagida ili kichwa kisiwaume kutokana na malalamiko yetu sisi tusiokuwa walevi! Sasa wameanza kuiba hadi unga wa ugali (Billions za BoT)... grrr
 
Back
Top Bottom