Happy Maths Day!

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,163
Nimesikia katika vyombo vya habari
Leo Tarehe 14 March 2012 ni siku ya hesabu
Changamoto iliyosema ni pamoja kwa ufaulu wa hisababi kuendelea kushuka Tanzania

Inabidi tuhimize kizazi hiki kipende hesabu.

Happy Maths Day!
 
Tutawahimiza...ila usisahau kuwa kesho ni siku ya walaji na watengenezaji vyakula....
 
leo ni 314. 1.59.29....siku ya pai..22/7...

yaani tarehe mwezi wa 3 tarehe 14...saa 1. na dakika 59 na sekunde 29...natumai niko sahihi
 
Iko kichwani kwako tuu
Ni kama kiswahili au jografia kabisa.

Sema hesabu ina wivu kama mpenzi
Usipomjulia hali kwa muda mrefu anazira kabisa.
math ni ugonjwa wa taifa jamaan...sina hamu nayo
 
Hawa walimu wa voda fasta nao ni kuwabebesha mzigo mkubwa kuliko wanachoweza fanya.
Nadhani hisababi haina kipaumbele tena.

Kumbuka zamani kulikuwa na kitabu cha hisabati za kiwetu, darasa la saba bila kukimaliza hicho kabla ya mtihani anajiona hajafanya lolote. Watoto walikuwa na competition nyingi sana.

Ila zamani maths ilipendwa na jamii..sielewi huu mgogoro umetoka wapi siku hizi...
 
Hawa walimu wa voda fasta nao ni kuwabebesha mzigo mkubwa kuliko wanachoweza fanya.
Nadhani hisababi haina kipaumbele tena.

Kumbuka zamani kulikuwa na kitabu cha hisabati za kiwetu, darasa la saba bila kukimaliza hicho kabla ya mtihani anajiona hajafanya lolote. Watoto walikuwa na competition nyingi sana.

Dah ni kweli kabisa nakumbuka nilikuwa nacho na nilikisomaga balaaa
 
Back
Top Bottom