ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,461
Habari wadau
Leo ni kumbukizi ya wababa duniani nami nawatakia heri na fanaka katika kumbukizi hii especial dady wangu namlavu sana kwa kunilea na kunitunza mpaka niko hivi
Pia sitamsahau dady yetu wa jf Watu8 kwa kutupa maadili sisi watoto wake wote pacha wetu Passion Lady na Lady doctor, WiseLady , na kadogo ketu moses
salamu zimfikie Baba V , The Boss , Arushaone , Erickb52 , kiwatengu ,
Madame B , Mtambuzi , Mentor , Slave , Khantwe , Chachu Ombara (huyu ni laaziz wangu dady Watu8 tambua hilo), na sosoliso na wengineo wengu niliowasahau si mnajua uzee tena hahaaaaaaaa
Leo ni kumbukizi ya wababa duniani nami nawatakia heri na fanaka katika kumbukizi hii especial dady wangu namlavu sana kwa kunilea na kunitunza mpaka niko hivi
Pia sitamsahau dady yetu wa jf Watu8 kwa kutupa maadili sisi watoto wake wote pacha wetu Passion Lady na Lady doctor, WiseLady , na kadogo ketu moses
salamu zimfikie Baba V , The Boss , Arushaone , Erickb52 , kiwatengu ,
Madame B , Mtambuzi , Mentor , Slave , Khantwe , Chachu Ombara (huyu ni laaziz wangu dady Watu8 tambua hilo), na sosoliso na wengineo wengu niliowasahau si mnajua uzee tena hahaaaaaaaa