Maajabu ya siku ya leo "Happy Father's Day 19th March"

Popo-

JF-Expert Member
Jan 21, 2022
282
575
Igweee...

Ikiwa ni siku ya wababa Duniani,
( Father's Day - Wikipedia ) nimesubiria karibu siku nzima bila kuona shamsham za kupostiwa wa kusherehekewa kama ilivyokuwa siku ya wamama duniani.

Kama mjuavyo, siku hii ina nguvu sana hasa ukizingatia mchango wa akina Baba/ wanaume katika jamii na familia kwa ujumla.

Lakini imekuwa ndivyo sivyo, katika contact list zangu zenye muunganiko wa namba niwezazo kutembea whatsapp karibu 1347, Sijaona hata status moja yenye kutambua mchango wa mwanaume kwenye jamii..

Nimeenda kwenye kurasa zangu za mitandao ya kijamii ikiwapo IG, Twitter na Facebook, hata katika pages kubwa kama JamiiForums Millard ayo hata BBC Swahili sijaona wakiweka post ya kutambua mchango wa mwanaume/Baba kwenye jamii.

Hii inanifanya nifikirie mbali sana kwamba, Baba/Mwanaume mchango wake hautambuliki kwenye jamii kwa sababu labda labda si mtu wa kujionyesha onyesha kwa yale ayafanyayo n.k na yumkini yale yasemwayo kuwa ndiyo maana wanaume hufa mapema, scenario hii ikawa ya ukweli ukizingatia haya ya leo.

Kwa niaba ya Wababa na wanaume wote, niwatakueni siku njema. Mimi mwanaume mwenzenu natambua sana mchango wetu kwenye jamii..

Wanajamiiforum, tuungane kwa pamoja tuwatakie wanaume na wababa wooote "HERI YA SIKU YA WABABA DUNIANI"



Ahsanteni
IMG_20220319_193557.jpg
 
Igweee...

Ikiwa ni siku ya wababa Duniani,
( Father's Day - Wikipedia ) nimesubiria karibu siku nzima bila kuona shamsham za kupostiwa wa kusherehekewa kama ilivyokuwa siku ya wamama duniani.

Kama mjuavyo, siku hii ina nguvu sana hasa ukizingatia mchango wa akina Baba/ wanaume katika jamii na familia kwa ujumla.

Lakini imekuwa ndivyo sivyo, katika contact list zangu zenye muunganiko wa namba niwezazo kutembea whatsapp karibu 1347, Sijaona hata status moja yenye kutambua mchango wa mwanaume kwenye jamii..

Nimeenda kwenye kurasa zangu za mitandao ya kijamii ikiwapo IG, Twitter na Facebook, hata katika pages kubwa kama JamiiForums Millard ayo hata BBC Swahili sijaona wakiweka post ya kutambua mchango wa mwanaume/Baba kwenye jamii.

Hii inanifanya nifikirie mbali sana kwamba, Baba/Mwanaume mchango wake hautambuliki kwenye jamii kwa sababu labda labda si mtu wa kujionyesha onyesha kwa yale ayafanyayo n.k na yumkini yale yasemwayo kuwa ndiyo maana wanaume hufa mapema, scenario hii ikawa ya ukweli ukizingatia haya ya leo.

Kwa niaba ya Wababa na wanaume wote, niwatakueni siku njema. Mimi mwanaume mwenzenu natambua sana mchango wetu kwenye jamii..

Wanajamiiforum, tuungane kwa pamoja tuwatakie wanaume na wababa wooote "HERI YA SIKU YA WABABA DUNIANI"



Ahsanteni
View attachment 2157075
Mchango wetu katika Maisha upo wazi! Hatuna haja ya kupostiwa...
 
Igweee...

Ikiwa ni siku ya wababa Duniani,
( Father's Day - Wikipedia ) nimesubiria karibu siku nzima bila kuona shamsham za kupostiwa wa kusherehekewa kama ilivyokuwa siku ya wamama duniani.

Kama mjuavyo, siku hii ina nguvu sana hasa ukizingatia mchango wa akina Baba/ wanaume katika jamii na familia kwa ujumla.

Lakini imekuwa ndivyo sivyo, katika contact list zangu zenye muunganiko wa namba niwezazo kutembea whatsapp karibu 1347, Sijaona hata status moja yenye kutambua mchango wa mwanaume kwenye jamii..

Nimeenda kwenye kurasa zangu za mitandao ya kijamii ikiwapo IG, Twitter na Facebook, hata katika pages kubwa kama JamiiForums Millard ayo hata BBC Swahili sijaona wakiweka post ya kutambua mchango wa mwanaume/Baba kwenye jamii.

Hii inanifanya nifikirie mbali sana kwamba, Baba/Mwanaume mchango wake hautambuliki kwenye jamii kwa sababu labda labda si mtu wa kujionyesha onyesha kwa yale ayafanyayo n.k na yumkini yale yasemwayo kuwa ndiyo maana wanaume hufa mapema, scenario hii ikawa ya ukweli ukizingatia haya ya leo.

Kwa niaba ya Wababa na wanaume wote, niwatakueni siku njema. Mimi mwanaume mwenzenu natambua sana mchango wetu kwenye jamii..

Wanajamiiforum, tuungane kwa pamoja tuwatakie wanaume na wababa wooote "HERI YA SIKU YA WABABA DUNIANI"



Ahsanteni
View attachment 2157075
Hivi nikirudi nyumbani kesho asubuhi kutoka kwenye kigodoro nitakuwa nimemkosea mke wangu? Si mara moja tu kwa mwaka.
 
leo ni March, hapo inaonesha June

mkuu umepiga cha Arusha sio
Tatizo lililopo hapa ni kwamba Machi 19 2022 ilihusisha sikukuu ya Mt. Joseph na kusheherekewa na wafuasi wa dini hiyo kama siku ya wanaume. Tarehe 19 June ni siku ya akinababa ambayo husheherekewa katika nchi mbalimbali Duniani. Hivyo Kimataifa siku ya akinababa ni 19/6 na si hiyo ya wakatoliki tu ambayo mwaka huu iliangukia tarehe 19/3/22.
 
Tatizo lililopo hapa ni kwamba Machi 19 2022 ilihusisha sikukuu ya Mt. Joseph na kusheherekewa na wafuasi wa dini hiyo kama siku ya wanaume. Tarehe 19 June ni siku ya akinababa ambayo husheherekewa katika nchi mbalimbali Duniani. Hivyo Kimataifa siku ya akinababa ni 19/6 na si hiyo ya wakatoliki tu ambayo mwaka huu iliangukia tarehe 19/3/22.
Ahsante kwa ufafanuzi mzuri!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom