Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,904
PIERLUIGI COLLINA kitu ambacho hatasahau zaidi kwenye kazi yake u referee: "Tulikuwa katika dakika mbili za mwisho za fainali ya Ligi ya Mabingwa na niliwaona wachezaji wa Bayern wakiwa kwenye benchi tayari kusherehekea ubingwa wao. Mashabiki walikuwa wanaekumbatiana kwenye viti kiwanjani wakisubiri filimbi yangu,ya mwisho.
Ghafla, Manchester United wanafunga mabao mawili ndani ya dakika mbili na Kubadili matokeo. Sitasahau furaha ya wachezaji na benchi la Manchester united, walionekana kama simba wanaounguruma, kabla ya ukimya mkubwa upande wa Bayern. wachezaji wa United walikimbia kama wazimu kwenye nyasi, huku nikimwona mchezaji wa Bayern amelala akilia, bila tumaini, na kukata tamaa sana.
- Nilimkaribia, lakini sikuweza kufikiria kitu kingine chochote cha kumwambia zaidi ya kumwambia "Simama na upambane , bado una sekunde 20! lakini wakati huo niliona sura halisi ya soka, ambapo wachezaji walijitolea maisha yao yote uwanjani, huku watu wakipiga kelele za furaha na wengine wakiwa na roho zilizochubuka.”
-SIKU NJEMA YA KUZALIWA KWA MWAMUZI PEKEE AMBAYE VAR IMEUNGANISHWA KATIKA MUONEKANO WAKE: PIERLUIGI COLLINA,Happy birthday Mwamuzi Bora Wa muda wote
Ghafla, Manchester United wanafunga mabao mawili ndani ya dakika mbili na Kubadili matokeo. Sitasahau furaha ya wachezaji na benchi la Manchester united, walionekana kama simba wanaounguruma, kabla ya ukimya mkubwa upande wa Bayern. wachezaji wa United walikimbia kama wazimu kwenye nyasi, huku nikimwona mchezaji wa Bayern amelala akilia, bila tumaini, na kukata tamaa sana.
- Nilimkaribia, lakini sikuweza kufikiria kitu kingine chochote cha kumwambia zaidi ya kumwambia "Simama na upambane , bado una sekunde 20! lakini wakati huo niliona sura halisi ya soka, ambapo wachezaji walijitolea maisha yao yote uwanjani, huku watu wakipiga kelele za furaha na wengine wakiwa na roho zilizochubuka.”
-SIKU NJEMA YA KUZALIWA KWA MWAMUZI PEKEE AMBAYE VAR IMEUNGANISHWA KATIKA MUONEKANO WAKE: PIERLUIGI COLLINA,Happy birthday Mwamuzi Bora Wa muda wote