Napenda kuchukua nafasi hii kukutakia heri ya kuzaliwa.Mungu akupe maisha marefu ya furaha na yenye baraka tele,
Furahia siku yako ya leo kwa upendo na amani! Tupo na wewe pamoja! Mungu akuzidishie busara zaidi!
amen swithat,asante sana bless u abanduntly
nitakuwa mchoyo wa fadhila katika uso huu wa dunia endapo sitakutakia maisha mareeeeeeeeeeeeefu, remember to keep up ur wise. Wiseboy+wiselady=Proper thinking and decissive generation.
Babu hebu vuta subira kidogo nambadilisha nepi hapa, then nakuletea kajukuu kako ukabebe!
HAPPY BIRTHDAY
Mama Wa Busara
Mwenyenzi Mumgu
azidi kukuongezea
Maisha marefu
yenye amani, busara,
Hekima , upendo na matumaini
Amen..
Hahaha PJ bana, we unatumia wikiliksi mi natumia monthliks!I cant believe this!
How did Kimey know it, and not me!!!?...i must investigate this using my intelligence, and everything will be out in Wikileaks soon!!
BTW, congrats so much dear Wiselady!...OUR Mom, without knowing it, did a very commendable job kukuzaa wewe!
Nishaagiza miguu miwili ya nyuma pale kwa Mromboo, will take you there soon!
Achana na ID yenye maandishi mekundumekundu ya hatari!
Ebo....hili toto limezaliwa leo na leo hii hii limeshaenda gesti afu linapost Via Mobile.
Dunia inakaribia mwisho wake asee:smash:
afu nahisi kukupenda cjui ndo nakua!fanya ukaguzi basi
I cant believe this!
How did Kimey know it, and not me!!!?...i must investigate this using my intelligence, and everything will be out in Wikileaks soon!!
BTW, congrats so much dear Wiselady!...OUR Mom, without knowing it, did a very commendable job kukuzaa wewe!
Nishaagiza miguu miwili ya nyuma pale kwa Mromboo, will take you there soon!
Achana na ID yenye maandishi mekundumekundu ya hatari!
Babu hicho kiuno kinahitaji maombi!
Njoo upatiwe maaombi, njoo upatiwe maombezi babu, njoo uombewe!!
Babu hicho kiuno kinahitaji maombi!
Njoo upatiwe maaombi, njoo upatiwe maombezi babu, njoo uombewe!!
Mara ngapi? Unataka dozi kama ya aspirin?