WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Hapa ni birthday wishes mbona mnachakachua thread??? Majina sitaji ila mnajijua
hahaha!umekuja mum,,,we taja majina tu coz najua lako litakua la kwanza
Hapa ni birthday wishes mbona mnachakachua thread??? Majina sitaji ila mnajijua
Happy Bday Dena damn!! Hizi Blacklabel za kichina nouma sana hadi nakoseaHapa ni birthday wishes mbona mnachakachua thread??? Majina sitaji ila mnajijua
Yaani ndo tuseme hujaona wishes yangu toka mwanzo?hahaha!umekuja mum,,,we taja majina tu coz najua lako litakua la kwanza
Aisee kuna mtu ameniambia ndio umegonga SWEET 16asante dearest,,,swala la pilau kuliwa wapi afro ana maagizo yote pia pj anaandaa katafrija hapa ingawa kana harufu ya uchoyo,,lol
Happy Bday Dena damn!! Hizi Blacklabel za kichina nouma sana hadi nakosea
Ina maana na mimi haujaona za kwangu hapo juuYaani ndo tuseme hujaona wishes yangu toka mwanzo?
Aisee kuna mtu ameniambia ndio umegonga SWEET 16
Yaani ndo tuseme hujaona wishes yangu toka mwanzo?
Homeboy yale makitu crap nimemkumbuka manager alivyomaindiNgoja nitafute wakili kabsaa maana naujua muziki wako L.D,
Happy Bday Dena damn!! Hizi Blacklabel za kichina nouma sana hadi nakosea[/QUOTE
Ngoja nireport abuse. Halafu uchakachuaji wenu wa thread msinihusishe
Mpendwa hii tutaiongea private maana hapa watu wanaweza kuni-gaddafitimes 3,,,,halafu c niliskia kuwa huwa unakagua sweetz ama?
Dena anataka kubembelezwa na kuliwazwa kwa upendo ngoja nifanye hiyo kazi.nimeiona lkn nikaipokea bila kusmile,,unasahau kuwa mkono mtupu haulambwi?finest hebu sema na dena
Hongera sana WL kwa siku yako ya kuzaliwa...Nakuombea baraka tele za Bwana, na akupe haja ya moyo wako!
Barikiwa sana dear!
Yaani unaripoti abuse ukiwa guest (Posted via Mobile)Happy Bday Dena damn!! Hizi Blacklabel za kichina nouma sana hadi nakosea[/QUOTE
Ngoja nireport abuse. Halafu uchakachuaji wenu wa thread msinihusishe
Dena anataka kubembelezwa na kuliwazwa kwa upendo ngoja nifanye hiyo kazi.
amen keren,naamini imekuwa in the might name,,,blessings
Yaani unaripoti abuse ukiwa guest (Posted via Mobile)
karibia wote hapa naona posted via mobile kwani mko wapi?mm niko mlimani inaeleweka