Mama mchungaji naona aibu mzee wa kanisa mimiHakuna ubaya nikilipenda tango la mume wangu, hata nikiamua kililamba au kulila...
Zingatia neno la mume wangu...
Werrraaaaahhhhh!Hakuna ubaya nikilipenda tango la mume wangu, hata nikiamua kililamba au kulila...
Zingatia neno la mume wangu...
Unazungumziaje suala la mama mchungaji kupenda kushenyentwa!Dah Donatila Upo Mama Mchungaji..
Happy Birthday kwako
AmenMimi Bwana Tony Cipriano nakutakia maisha yenye baraka tele na afya ya mwili na roho kwa jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristu.
Na wote tuseme amein
Milele amina shemejiAsta
Mkatumeni komwe tumsifu Yesu kristo,
Naona aibu njoo nikuoe bebeWe mzee wa kanisa unayeiba sadaka😂
Jana sijakuona mimbariniMilele amina shemeji
Luka 11:27Ukawe na umri mrefuuuuu..!
Zaburi 90:10
Yaani unazeeka wewe unaona unakuwa kijana! Miaka ya kuishi leo imepungua kama hujui.Happy birthday 🎉 to me..
Happy birthday to me mama mchungaji wa JF...
Asante Mungu kwa kuniongezea zawadi ya mwaka mwingine...
NB: Ujana wangu umeurejesha kama Tai
Swali: Je, wewe Ujana wako umerejeshewa kama Tai...?
Adamu hakuomba plz mama mchungaji!!!!!!!!Kuchenyetwa ni muhimu ndo maana Adam aliomba msaidizi wa kufanana nae, sasa ajabu Iko wapi...