Happy birthday to me jamani!

Happy birthday to me jamani!

Nyamayao

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2009
Posts
6,966
Reaction score
2,379
happy birthday to nyamayao, namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima/afya tele mpaka leo hii nagonga miaka kadhaa chini ya hili jua, ups and downs kibao lakini amenipa ujasiri wa kupambana, akiniinua pale nilipojikwakaa na kuanguka na kunipa nguvu za kusonga mbele kwa ujasiri zaidi, my family, musukuma/kids, my lovely mama/sis, na wana JF wote, nawapenda sana sana!...happy birthday to nyamayao jamani....
 
Duh' Nyamayao upo mamie? Nimefurahi kukuona tena katika siku yako spesheli. Hongera sana kwa kusongesha mwaka mmoja mbele... Mwenyezi Mungu akuneemeshe, kukubariki na kukuwezesha na kukufikisha pale utakapo huku akikujaalia maisha marefu yenye furaha tele!

May you have a wonderful BIRTHDAY

:A S-rose: :A S-rose: :A S-rose:...Happy Birthday... :A S-rose: :A S-rose: :A S-rose:​
 
"Jamani tundi, ntalipataji tundi,
Tundi tamtam, ntalipataji tundi,
Tundi nalipendo, ntalipataji tundi,


Jamani Nyamayao, mi nakupendi sani,
Yaani nakumaindo kinomi
.
"

Haya yalikuwa ni maneno ya Bambo akimweleza Nyamayao....na hiyo ndio dedication ya watu8 kwako Nyamayao kwenye maadhimisho ya siku yako ya kuzaliwa...
 
happy birthday to nyamayao, namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima/afya tele mpaka leo hii nagonga miaka kadhaa chini ya hili jua, ups and downs kibao lakini amenipa ujasiri wa kupambana, akiniinua pale nilipojikwakaa na kuanguka na kunipa nguvu za kusonga mbele kwa ujasiri zaidi, my family, musukuma/kids, my lovely mama/sis, na wana JF wote, nawapenda sana sana!...happy birthday to nyamayao jamani....

Hongera sana .... Nakutakia maisha marefu!
Mhhh kama ka-uzee kanakunyemelea vile kila unavyosherehekea siku hii, unaelekea kuwa bibi! (Joke) :becky:
 
Happy Birthday sweerieeeee.........
LIght yellow_ white and red flowers with birthday cake shape with candles.PNG
 
Duh' Nyamayao upo mamie? Nimefurahi kukuona tena katika siku yako spesheli. Hongera sana kwa kusongesha mwaka mmoja mbele... Mwenyezi Mungu akuneemeshe, kukubariki na kukuwezesha na kukufikisha pale utakapo huku akikujaalia maisha marefu yenye furaha tele!


May you have a wonderful BIRTHDAY

:A S-rose: :A S-rose: :A S-rose:...Happy Birthday... :A S-rose: :A S-rose: :A S-rose:​

nipo mpendwa, majukumu tu yanatupishanisha humu, nashukuru sana sana, be blessed!
 
happy birthday to nyamayao, namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima/afya tele mpaka leo hii nagonga miaka kadhaa chini ya hili jua, ups and downs kibao lakini amenipa ujasiri wa kupambana, akiniinua pale nilipojikwakaa na kuanguka na kunipa nguvu za kusonga mbele kwa ujasiri zaidi, my family, musukuma/kids, my lovely mama/sis, na wana JF wote, nawapenda sana sana!...happy birthday to nyamayao jamani....

Happybirthday 2 uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu nyama yangu. How old ar u ili nikutengenezee ka cake wajameni?
 
Happybirthday 2 uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu nyama yangu. How old ar u ili nikutengenezee ka cake wajameni?

jamani hiyo keki wewe andika happy birthday to bila kanamba, hahaha (kidding)...30 yrs old my swir.
 
nipo mpendwa, majukumu tu yanatupishanisha humu, nashukuru sana sana, be blessed!

Basi tushukuru kwa siku hii kukuleta... Inabidi nitume copy kwa waweza sherehe kuja ungana katika sherehe...

cc to;
sweetlady, King'asti, gfsonwin, Kaizer, MwanajamiiOne, The Boss, Mentor, Dena Amsi, Judgement, Madame B, RR , TIMING, Chauro, Mtambuzi, Young Master, Mamndenyi, Kongosho, Michelle, Lizzy, Mwali, Kaunga, Dark City, Zion Daughter, Ndahani, Kimey, Blaki Womani, PakaJimmy...


Kwa sasa hao wanatosha na tutaomba waite wenzao... Lol.

Kuwa na siku njema mamie... Pamoja saana.
 
Happy Birthday Nyamayao....Mungu akujalie FURAHA na USHINDI utimize kusudi la kuishi kwako....
 
happy birthday to nyamayao, namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima/afya tele mpaka leo hii nagonga miaka kadhaa chini ya hili jua, ups and downs kibao lakini amenipa ujasiri wa kupambana, akiniinua pale nilipojikwakaa na kuanguka na kunipa nguvu za kusonga mbele kwa ujasiri zaidi, my family, musukuma/kids, my lovely mama/sis, na wana JF wote, nawapenda sana sana!...happy birthday to nyamayao jamani....

Mungu akupe maisha marefu. Happy birthday
 
Jana ilikua very blue kwangu....ila leo nimeamka nina furaha sana....now am getting it....
Its you Nyamayao, ukifurahi nafurahi....
Well as AshaDii keshapendekeza timu ya mnuso...mimi naingia kazini.......

Happy birthday NY


happy birthday to nyamayao, namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima/afya tele mpaka leo hii nagonga miaka kadhaa chini ya hili jua, ups and downs kibao lakini amenipa ujasiri wa kupambana, akiniinua pale nilipojikwakaa na kuanguka na kunipa nguvu za kusonga mbele kwa ujasiri zaidi, my family, musukuma/kids, my lovely mama/sis, na wana JF wote, nawapenda sana sana!...happy birthday to nyamayao jamani....
 
Last edited by a moderator:
Happy Birthday Nyamayao....Mungu akujalie maisha marefu yenye mafanikio,afya njema na ushindi katika mitihani ya maisha.
Furahia siku yako ya kuzaliwa.
 
Hongera sana Nyamayao......

Hii staili yako nimeipenda kupita maelezo....

Watu wakijifanya kukubania ...unajilipua na kujipaisha kwa kwenda mbele.....


Happy Birthday to you...


Halafu upunguze kupotea...watu wasijehisi kuwa ume-RIP kumbe mwenyewe umewekwa ndani wala maraha!!


Babu DC!!
 
Basi tushukuru kwa siku hii kukuleta... Inabidi nitume copy kwa waweza sherehe kuja ungana katika sherehe...

cc to;
sweetlady, King'asti, gfsonwin, Kaizer, MwanajamiiOne, The Boss, Mentor, Dena Amsi, Judgement, Madame B, RR , TIMING, Chauro, Mtambuzi, Young Master, Mamndenyi, Kongosho, Michelle, Lizzy, Mwali, Kaunga, Dark City, Zion Daughter, Ndahani, Kimey, Blaki Womani, PakaJimmy...


Kwa sasa hao wanatosha na tutaomba waite wenzao... Lol.

Kuwa na siku njema mamie... Pamoja saana.


Asante sana Da Asha (@AshaDii),

Kusema kweli hizi week za hivi karibu zimekuwa mbaya sana...may be tutarejea home tumsalimie mtoto Nyamayetu!!

Babu DC!!
 
jamani hiyo keki wewe andika happy birthday to bila kanamba, hahaha (kidding)...30 yrs old my swir.

Yaani kumbe wewe bado kigoli kabisa......???

Siku zote nakupigiaga mahesabu ya kwamba unanusa nusa RED line kuelekea Siberia...


Kama ni kweli basi Msukuma atakiwa aongeze mbwa kwa ajili ya ulinzi..., mstue ili aje kwa Babu DC akapate puppy wa Germany Shephard...watamfaa sana huko mbele ya safari kwani njia bado ndeefu kishenzi!!

images


images



Babu DC!!
 
Jana ilikua very blue kwangu....ila leo nimeamka nina furaha sana....now am getting it....
Its you Nyamayao, ukifurahi nafurahi....
Well as AshaDii keshapendekeza timu ya mnuso...mimi naingia kazini.......

Happy birthday NY

Ile tabia yako ya utegezi hadi uone kinywaji chenye kilevi naomba leo usifanye hivo... Tumia fursa hii kumshawishi Nyamayao kurudi kila siku hata kama kaka Bigirita anamkorofisha... Lol.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom