sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,478
mbona naniliu ulininyima.............mpaka leo nasubiriaga tu!!!! khaaaa
Mh babe nkakunyima nini mie..? Wajua changu chako..
mbona naniliu ulininyima.............mpaka leo nasubiriaga tu!!!! khaaaa
Hili joto jaman utachubukaa
Binamu nimekukumbuka sana.
Nimeacha ubazazi siku hizi Ruttashobolwa.. Paloma kaniendea kinyume sizungushi.. Halafu namuona ana urafiki wa karibu sana na Passion Lady.. Nadhani utakuwa kama mimi muda sio mrefu lol..
Acha kabisa binamu Madame B mimi hata sitaki kusema kiwango cha kukumisi nilichonacho.
Fanya mpango basi tukutane kule kule kwa Juzi...LTHP.:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
Mamndenyi