Nitafutie mywangu mmoja kama smart tuvumiliane kama nyie,ila unipe past papers kabisa!πNo! Lakers kwenye maloveee dear
Kbisa!! ππππππππ
Acheni watru watambe jijini buanna!
Ndiyo mfumo wa mjini sasa hivi wanaishi kimasterAhh we! na kwangu nmucha nani? kila mt akae kwake tu! π
Annhh huo uchiz sifanyi,aibu gani hii, kukaanazunguka na mabegi nyoooh!ππ
Hahahahhaah wapuuzi, kila mtu atafute chake kwanza, kupunguza kudharauliana!
Na mabinti sikuhizi wanajua kuipeleka aisee! acha wafumliwe wakirudi ni makasiriko tu! πMi Huwa namwambia kivuruge wangu ikitokea mwanamke kakuelewa kaileta mwenyewe weee fumuaaa tu anaishia kucheka..
Acha niendelee kuonekana mshamba tu, hiyo mifumo yenu ya mjini inipite tu!Ndiyo mfumo wa mjini sasa hivi wanaishi kimaster
Weeeee past papers zetu utaziweza???Nitafutie mywangu mmoja kama smart tuvumiliane kama nyie,ila unipe past papers kabisa!π
Nitajikaza sis πWeeeee past papers zetu utaziweza???
Kuna muda tunapigana tunachambana tunavutana sanaa tunanunianaa nasusaaaa bila maelezo yaliyojitoshekeza tunaenda kimyaa kimyaaa ivoivoooooππππ
Ndio kazi tuliyonayo hapa duniani wanawake! mtibue akitulia, akitibuka mtulize!π€Hahahaha hapo mi nakua namtania sasa ili aingie kwenye mfumo nimchambe nimnunie nisuseπππππ!
Kama ananipa ninachokata, mbona freshy tu! ila kama ndio pangu pakavu tia mchuzi halafu bado analeta mambo ya kiwaki,tamnyoosha!Khakhakhaaa..Inategemea na mtima wako ukimzingatia sana utagombana nawatu. Unaamua kumpa uhuru tu achoke mwenyewe!
ππππππππππNdio kazi tuliyonayo hapa duniani wanawake! mtibue akitulia, akitibuka mtulize!π€
Ukitaka ufurahie wee mfanye kama mpenzi rafiki mfano wa SmartKama ananipa ninachokata, mbona freshy tu! ila kama ndio pangu pakavu tia mchuzi halafu bado analeta mambo ya kiwaki,tamnyoosha!
Mmambo niyapendayo! penzi linaanza moja! π πππππππππππ
Namie sometimes namtibuaaaa kweliikweliiiiiiii anaumia hadi nafeel uchungu alioupata!
Tukikutana tunaanza kusovu kesi kwanza
Aishi sana tuendelee kupata tution!Ukitaka ufurahie wee mfanye kama mpenzi rafiki mfano wa Smart
Hapo kwenye ninachotaka sasa awwwwwwwwwwwwwwwww!ππππππ
Aishi sana kivuruge wangu