We yako iwe mtondogoo yangu mimi siku mbili utanizibia kupata zawadiHuh!! Basi namimi yangu keshokutwa.
Kabisa. Natamani hata nilale ndani ya pipa,ile ambayo haijamixisiwa vizuri pale breweriesBia 80
Hahahha ndio ushangaeKeki inaliwa chumbani
Kamishina wangu wa TRA bwanaUnazikusanya tuu
Shukrani mkuu
Hahahha ila auntie mambo za chumbani si umeleta weweKitoto kichoyo hiki.
Jinga wewe ni kiasi hauniamini basi nimeghaili situmi tena
Nishatuma mie mwambie aangalie pm
Shunie tuma namba
Yuko hukooo michepukoni.@Eli79