Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mbona hufungui uzi jamani, usisahau kuambatanisha na namba ya miamala.





Mbona hufungui uzi jamani, usisahau kuambatanisha na namba ya miamala.





Mpendwa yako ni leo au kesho au inategemea na muamala utasoma vipi😄😄😄Nami besdei yangu, nishatuma namba pm.



ndiyo nimeshaharibu sasa,, maana JF watu wanaambizana ukimuambia mmoja tu ni sawa umeambia kikosi kizima.. watu si wanatumana humu umesahau??
Usisubutu kusema ukweli humu jf hata mkijuana hakitaharibika kitu
TTCL bwana, voda ya kutolea kubwa.Voda ya zamani![]()
Khaaah!! Sikuondoka nae mimi.Ule muda mliondoka wote, ukarudi mwenyewe
Mbona nimekuja pm haupo
Hebu tulia twin ake.Auntie bwana
Nimezaliwa leo na kesho bwana, unachelewesha mambo.Wewe umezaliwa mwezi gani, nikufungulie uzi
Naona umeamua kunizushia! Sijawahi kuwa nayo, hata kuwaza kuwa nayoYuko hukooo michepukoni.



Eeeh, binti bado mbichiiiii.
Umenishinda tabiaaa
Tumeni tu miamala, ni siku yoyote tu.Mpendwa yako ni leo au kesho au inategemea na muamala utasoma vipi![]()
Umetumwa wewe sio bureNaomba nipe nafasi niwe Baba bora kwa mwanao
Afadhali uende pm, kuna kanamba kangu besidei gelo jamani. Hii besidei sijui ilikuwaje nikaisahauPunguzeni speed ya huu uzi sasa ili nipate nafasi ya kuenda pm,, nisije nikarudi nikakuta comments buku kidogo..
Sent using Jamii Forums mobile app




we nimekuwa star wa bongo movie mie??
Bora ungesema uko na 28, halafu iwe haiongezeki kila mwaka
Baby hebu tuongee la msingi kwanza, leo ni besidei yangu. Nasubiri muamala.Naona umeamua kunizushia! Sijawahi kuwa nayo, hata kuwaza kuwa nayo![]()
Hivi unazo ngapi? Mbona hii ni mara ya pili mwaka huu.Baby hebu tuongee la msingi kwanza, leo ni besidei yangu. Nasubiri muamala.