Happy Birthday Sakayo

Happy Birthday Sakayo

Ila Ali we mstaarabu sana yaani sana jamani jana nilikupenda bure ulivyojishusha kwa yule mwenye stress
Ni kweli dada, binafsi sipendi kukwaruzana na mtu. Yule ni miongoni mwa rafiki zangu nilimtania tu ila bahati mbaya hakuwa katika mood ya utani na akashindwa kuhimili stress zake. Kibinaadamu ndio inavyotakiwa, ukihisi mtu umemkosea huna budi kujishusha na kumuomba msamaha hapo hapo. Nashukuru sana kwa kunielewa.
 
Ni kweli dada, binafsi sipendi kukwaruzana na mtu. Yule ni miongoni mwa rafiki zangu nilimtania tu ila bahati mbaya hakuwa katika mood ya utani na akashindwa kuhimili stress zake. Kibinaadamu ndio inavyotakiwa, ukihisi mtu umemkosea huna budi kujishusha na kumuomba msamaha hapo hapo. Nashukuru sana kwa kunielewa.
Pole sana jamanii
 
Ni kweli dada, binafsi sipendi kukwaruzana na mtu. Yule ni miongoni mwa rafiki zangu nilimtania tu ila bahati mbaya hakuwa katika mood ya utani na akashindwa kuhimili stress zake. Kibinaadamu ndio inavyotakiwa, ukihisi mtu umemkosea huna budi kujishusha na kumuomba msamaha hapo hapo. Nashukuru sana kwa kunielewa.
Niliona pole mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom