Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,975
- 453,756
Ninapozungumzia marafiki zangu wewe ni miongoni mwa marafiki zangu wa faida kabisa hata nikiwa na shida nikuamshe usiku wa manane lazima unisikilize pamoja na mm na kausumbufu jamani lakini unanivumilia kwa vyote.
Tuna uchizi mwingi unaofanana
Asante sana jf kwa kunikutanisha na sakayo wangu amekuwa zaidi ya rafiki kwangu tumekuwa zaidi ya ndugu
Happy birthday sakayo wangu kaziwanda ka mama....Mungu wangu azidi kukuweka tu na kukulinda na akufunike kwa Damu ya Yesu, akubariki katika biashara zako na kazi yako na familia yako
Nakupenda tu mimi leo, kesho na milele
MITHALI 14:1-2 Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba, Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe, yeye aendaye kwa unyofu wake humcha Bwana bali aliye mkaidi ktk njia zake humdharau
Tuna uchizi mwingi unaofanana
Asante sana jf kwa kunikutanisha na sakayo wangu amekuwa zaidi ya rafiki kwangu tumekuwa zaidi ya ndugu
Happy birthday sakayo wangu kaziwanda ka mama....Mungu wangu azidi kukuweka tu na kukulinda na akufunike kwa Damu ya Yesu, akubariki katika biashara zako na kazi yako na familia yako
Nakupenda tu mimi leo, kesho na milele
MITHALI 14:1-2 Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba, Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe, yeye aendaye kwa unyofu wake humcha Bwana bali aliye mkaidi ktk njia zake humdharau