Hapo ndipo unapokosea.... wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA nawapenda sana, na wao wanapendana mbaya. Ni full maraha.... kama vipi unaweza kuomba kuungana nao kama una vigezo na watakukubalia..
Hongera kwa kutimiza miaka kadhaa.....
Hongera kwa kuendelea kupunguza miaka yako ya kuishi
kwa niaba ya mume wangu Asprin, na wakewenzangu cacico na Yummy chini ya usi amizi wa Kongosho tunakutakia maisha marefu, uishi hadi vitukuu vikuanike juani, uwe na mafanikio katika kila ufanyalo.....
Happy birthday
Hahahahaha nadhai uwepo wake tu unatisha kuwafanya watu wasiibe vinywaji lol ila tutampoteZa figganigga maana anayaogopa macho yake!