Happy birthday Roulette! Mwaaaah


Thank you darling BADILI TABIA mwaaaah
 
Last edited by a moderator:
Kaizer acha tu liwalo na liwe manake labda itasaidia watu wasiibe vinywaji kama jana!
Yummy nakusalimu kwa amani ya bwana.......mekumiss munooooo mpendwa!

Hahahahaha nadhai uwepo wake tu unatisha kuwafanya watu wasiibe vinywaji lol ila tutampoteZa figganigga maana anayaogopa macho yake!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer acha tu liwalo na liwe manake labda itasaidia watu wasiibe vinywaji kama jana!
Yummy nakusalimu kwa amani ya bwana.......mekumiss munooooo mpendwa!

Nipo mpendwa nilikua tu na pilika za hapa na pale.......missed u too love! Naona bday ya Erickb52 ilienda vizuri na hii hali kadhalika.
 
Last edited by a moderator:
Ewaa mwaah mwaah mwaaah haya nambie kwa nn umeadimika ivi?

Mwenzangu Mr Rocky alinichimbia mkwara eti niamue kuingia JF au talaka.......mmmmhhh ndoa tamu mwenzangu nikaamua kutii.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hahahaha wewe Remmy wewe lol unapenda wenzio wazaliwe kila siku eeh?....kesho zaliwa wewe mimi ntakubeba!

Raha kweli kubeba vitoto. Ila kubebwa pia ni raha, sasa sijui nizaliwe keshoo.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…